• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

UZINDUZI WA WIKI YA SHERIA 2024 WILAYANI KIBITI.

Posted on: January 28th, 2024

Maadhimisho ya wiki ya sheria nchini hufanyika kila mwaka. Lengo la maadhimisho haya ni kutoa Elimu ya kisheria kwa kutumia majukwaa na mikutano mbalimbali ya wananchi ili kutatua migogoro kwa njia ya usuluhishi badala ya kwenda mahakamani ambapo mara nyingi wananchi wamekuwa wakitumia muda mwingi kutafuta haki hali inayopelekea kushuka kwa kiwango cha uzalishaji mali.

Kwa mwaka huu wa 2024, madhimisho ya wiki ya Sheria Wilayani Kibiti yamezinduliwa rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Mhe. Kanali Joseph Kolombo siku ya Jumamosi tarehe 27 Januari, 2024 kwa kufanya matembezi kutoka katika viwanja vya Mahakama ya wilaya ya Kibiti hadi shule mpya ya sekondari ya Chief Hangaya iliyopo katika Kata ya Kibiti kisha kupanda miti katika shule hiyo.

Maadhimisho ya wiki ya Sheria nchini yameanza tangu januari 24 na yanatarajiwa kutamatika ifikapo januari 30/2024 huku kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni "UMUHIMU WA DHANA YA HAKI KWA USTAWI WA TAIFA : NAFASI YA MAHAKAMA NA WADAU KATIKA KUBORESHA MFUMO JUMUISHI WA HAKI JINAI".

Akizungumza kuhusu maadhimisho hayo Hakimu mkazi mfawidhi wa Mahakama ya wilaya ya Kibiti Mh.Tarsila J. Kisoka alisema, maadhimisho hayo yanalenga kuongeza uelewa wa sheria kwa wananchi ili kujenga jamii ya watu wanaofahamu sheria za nchi yao na kuzifuata. Hivyo watatumia wiki hii kutoa huduma na Elimu ya sheria katika maeneo yafuatayo, Shule ya msingi Kikale, Shule ya Msingi Kitundu, Shule ya Sekondari Zimbwini na kilele cha maadhimisho hayo itakuwa siku ya Alhamisi Februari 1, 2024 yatakayofanyika katika viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Kibiti kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

Wananchi wote mnakaribishwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.