• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

DC KOLOMBO AZINDUA ZAHANATI YA KITEMBO RASMI

Posted on: May 10th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewataka wakazi wa Kitembo kuitunza na kuilinda Zahanati ya Kitembo ambayo imejengwa na wananchi Pamoja na  Serikali yao.

"Zahanati hii ni yenu, itunzeni, ilindeni ni Mali yenu,a ngalieni isiharibiwe na watu wasio na nia njema".Alisema Kanali Kolombo.

Amesema hayo alipokuwa akizindua rasmi Zahanati ya kitembo ambayo inaanza kutoa huduma za matibabu kuanzia Mei 10/2023.

"Nimezindua rasmi zahanati hii, nami nimepima kuashiria huduma zimeanza kutolewa, wananchi wote wenye changamoto ya afya huduma zinapatikana hapa" alisema Kanali Kolombo.

Vilevile Kanali Kolombo amewapongeza wakazi wa Kitembo kwa kazi nzuri huku akisema zahanati ya kitembo imeanza kwa baraka kwani tayari MSD imeanza kusambaza vifaa tiba na Kwa kitembo tayari vimepokelewa.

Kwa upande wa changamoto ya maji Kanali Kolombo amewaondoa hofu wakazi wa kitembo kwa kuwathibitishia kupata maji safi na salama, kwani mpaka sasa mradi wa maji Mkupuka ambao utasambaza maji kitembo umekwishafanyiwa upembuzi yakinifu kilichobakia ni utekelezaji wakati wowote kuanzia sasa utaanza kutoa huduma kwa wananchi.

Hata hivyo akiwa katika hafla hiyo Mkuu wa Wilaya amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha anajenga nyumba za matabibu wa zahanati hiyo ili waweze kufanya kazi wakiwa katika mazingira mazuri na jambo litakalofanya kuongeza umakini wa utendaji kazi. Pia ameagiza kupimwa eneo lote la zahanati na kuweka mawe ya msingi Ili kutambua mipaka halisi ya Zahanati.

Aidha Mganga wa Mkuu wa Wilaya Dkt. Elizabeth Oming'o Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji amesema lengo la serikali ni kusogeza huduma kwa wananchi na kupunguza idadi ya vifo vya watoto na wajawazito huku akisisitiza kwamba, Zahanati hiyo itasaidia kutoa huduma mbalimbali za dharura. Pia Dkt. Oming'o amesema Zahahati hiyo tayari imekwishafunguliwa account ya Benki katika Benki ya NMB na habari njema ni kwamba tayari wameanza kupokea dawa kutoka MSD Kwa ajili ya Zahanati hiyo.

Awali akikaribisha Mkuu wa Wilaya Diwani wa Kata ya Kibiti Mhe. Hamidu Ungando ameishukuru Serikali ya awamu ya 6 kwa kazi zilizofanyika  na kipekee amewashukuru wananchi kwa namna walivyojitoa tangu kuanza kwa ujenzi mpaka Leo Jengo limekamilika.

"Ndg wananchi, tumepata Jengo hili, linahitaji usimamizi wa karibu, Wataalam walioletwa shirikianeni nao waweze kutuhudumia vizuri" Alisema Ungando.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.