• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

VIJANA 81 WAMEHITIMU MAFUNZO YA MGAMBO KIBITI

Posted on: November 13th, 2022

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele na mgeni rasmi amefunga mafunzo ya Jeshi la Akiba kundi la 06/22 katika kituo cha Mtawanya yaliyoanza mwezi Julai na kukamilika Novemba 2022.

Katika ghafla hiyo Meja Gowele amewapongeza vijana 81 waliohitimu mafunzo hayo na kuwataka kufanya kazi Kwa uaminifu na uzalendo na si vinginevyo kama walivyokula kiapo kwani kazi za jeshi zinafanywa Kwa utii na nidhamu kubwa.

Vilevile Gowele ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti  kwa namna walivyoshiriki kuhakikisha mafunzo yanakamilika na kulitaka Baraza la Madiwani kutenga bajeti za kusimamia masuala ya ulinzi na usalama

Akijibu maombi ya wahitimu kupita risala na taarifa waliyosoma na kumkabidhi mkuu wa Wilaya ameitaka jamii  na Taasisi mbalimbali kujitolea kuchangia gharama za mafunzo hayo kwani jambo la ulinzi na usalama ni la wote katika jamii.

Naye Shabani Mabula, akisoma risala ya utii kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo ya wahitimu wa jeshi la Akiba amesema jumla ya vijana 81 wamehitimu mafunzo hayo ambapo  9 ni wanawake na 72 ni wanaume ambao  kati yao Bw. Meshark Mabwai aliongoza kwa kuwa na umri  mkubwa zaidi (62) kupita wote katika mahafali hayo ambapo alitunukiwa zawadi ya fedha na Mkuu wa Wilaya kama sehemu ya motisha kwa kutokujali umri wake na kuamua kujitolewa kufanya mafunzo kwa uzalendo mkubwa.

 Aidha wahitimu hao mbali na kuomba kuchangiwa gharama za mafunzo ikiwa ni pamoja na mavazi na chakula Cha wakufunzi, pia wameomba kupewa kipaumbele cha ajira katika makampuni mbalimbali, Pamoja na kupewa kipaumbele kupata nafasi za jeshi la kujenga Taifa ( JKT) pindi nafasi zinapotolewa

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.