• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

VIONGOZI WA CCM BUNGU, JUMUIYA YA JAI WAWAKIMBILIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KIBITI.

Posted on: May 16th, 2024

15.5.2024.

Jumuiya ya Jai Mkoa wa Dar es Salaam inayojishughulisha na masuala ya kijamii imemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kibiti msaada wa takriban nguo 5000 kwaajili ya kuwasitiri waathirika wa mafuriko Wilayani Kibiti ambayo yamedumu kwa miezi 2 Sasa.

Akikabidhi msaada huo Mkuu wa msafara na Kiongozi wa JAI Wilaya ya Kinondoni Ndg. Khamis Mmanga ameitaka jamii kuona kuna umuhimu wa kusaidiana panapotokea majanga kwani hakuna anayetarajia kuyapata kwani huja kwa wakati tusioutegemea pasi na maandalizi.

"Hili ni jambo letu sote, niombe tu jamii kuwa na tabia ya kusaidiana na kufarijiana katika majanga na furaha pia" Alisema Mmanga.

Aidha kupitia ombi la Mkuu wa Wilaya kuhitaji kupatiwa mbegu na vyakula, Bw. Mmanga amesema wamelipokea na wanakwenda kujipanga kuhakikisha mbegu, vyakula na vifaa vingine vinapatikana kwa ajili ya waathirika hao.

Akitoa shukrani kwa msaada alioupokea Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewataka wadau wengine na Taasisi mbalimbali kuendelea kujitokeza kuwasaidia wanakibiti hususani mbegu za mazao mbalimbali ili waweze kupanda upya kwani maeneo yaliyoathirika bado yana  unyevu wa kuweza kustawisha mazao.

Nao Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Bungu wilayani Kibiti pamoja na Viongozi wa vijiji wakiwemo mabalozi wametoa msaada wa unga viroba 20 vyenye ujazo wa kg 5 na sabuni ya unga ya kufulia katoni 2 ikiwa ni sehemu ya kuwashika mkono wahanga wa mafuriko Wilayani humo.

Msaada huo umekabidhiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Bungu Kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo jana tarehe 15 mei 2024 katika viunga vya Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti.

"Pokea hiki kidogo tulichopata, ukawafikishie wenzentu walioathiriwa na Mafuriko, tumeguswa na tupo pamoja nao" Alisema.

Vilevile katika msafara huo Mwenyekiti wa Kijiji cha pagae Ndg. Shabani Ally Karuke amesema wameguswa sana na suala la Mafuriko Wilaya ya Kibiti hivyo kwa uchache wao viongozi wa Bungu wameona wawasaidie ndugu zao kwa kilichopatikana.


Naye Mzee wa Kata ya Bungu Ndg Ramadhani Mohamed Mkwaya amesema kwa umoja wao wamejikusanya viongozi wa Chama na Serikali kutoa pole kwa wenzao waliopatwa na Mafuriko. 


Baada ya mapokezi, Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewashukuru viongozi hao msaada huo akibainisha kwamba mahitaji yaliyopokelewa yatapelekwa kwa walengwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.