• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

”WANANCHI MSIONDOE MASHAURI MAHAKAMANI, IDARA YA MAHAKAMA TENDENI HAKI ”- DC KOLOMBO.

Posted on: February 2nd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewataka wananchi kuacha tabia ya kuondoa mashauri mahakamani na kuyarudisha majumbani kwa madai kwamba watamaliza nyumbani kwani ni chanzo kikuu cha kupoteza haki hususani kwenye masuala ya ukatili wa kijinsia.

"Acheni sheria ifuate mkondo wake , hii tabia ya kudai tutamalizana nyumbani inasababisha matukio kuendelea kuongezeka" Alisema Kolombo.

Kanali Kolombo ameyasema hayo katika kilele cha wiki ya sheria yaliyoanza januari 27 na kuhitimishwa leo Februari mosi katika Ofisi za Mahakama ya Wilaya ya Kibiti.

Akizungumzia kauli mbiu ya maadhimisho hayo isemayo " Umuhimu wa haki kwa ustawi wa Taifa, nafasi ya wadau katika kuboresha mifumo jumuishi ya haki jinai"  Kanali Kolombo amewataka watumishi wote wa Idara ya Mahakama kutenda haki kwa wananchi wanaowatumikia sambamba na kuwapa elimu ya sheria.

Mkuu huyo wa Wilaya amewataka wafanyakazi wa Idara hiyo, kufanya kazi kwa bidii ili waweze kumaliza kwa wakati mashauri ya kesi mbalimbali zinazofikishwa mahakamani hapo kutokana na msongamano wa kesi mahakani.

"Nimesikia kuna jumla ya mashauri 189 mahakamani bila kuwa na juhudi hamuwezi kuyamaliza kwa wakati, fanyeni kazi kwa bidii". Alisema Kolombo.

Hata hivyo Kanali Kolombo amewasisitiza wadau hao wa mahakama kuhakikisha wanaelewa vizuri mfumo wa matumizi ya tehama kwani utarahisisha na kukamilisha kazi kwa muda mfupi na  haraka zaidi.

"Mnakwenda kuanza kutumia mfumo wa tehama katika utendaji wenu,  ninawasihi mkajifunze na kuelewa vizuri kwasababu  mfumo utakwenda kuwarahisishia kumaliza kazi kwa wakati,katika ulimwengu wa Sasa wa Sayansi na Teknolojia " Alisema Kolombo.


Aidha Hakimu wa Wilaya ya Kibiti Mhe. Tarsila John Kisoka amemshukuru Mkuu wa Wilaya, Viongozi wa Chama na Serikali, Taasisi mbalimbali na Viongozi wa Dini kwa kushiriki kufunga  maadhimisho hayo muhimu ya sheria ambayo hufanyika kila mwaka Duniani.

"Ninawashukuru Viongozi wote kwa ushiriki wenu, maadhimisho haya hutambulika Duniani kote na ni ishara kuu kwamba, mahakama za Tanzania zinatimiza wajibu wake kwa kutenda haki bila ubaguzi" Alisema Mhe. Kisoka.

Naye Afisa Utumishi wa mahakama hiyo Bw. Shadrack Mlomo amewashukuru Waheshimiwa Mawakili wote kwa namna walivyotoa elimu ya Sheria kwa wananchi, huku akiahidi kwamba wataendelea kutoa haki  kwa weledi mkubwa, uadilifu na uwajibikaji kwa kufuata kanuni, sheria na taratibu za Mahakama nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.