• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

WATENDAJI KATA NA VIJIJI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UHASIBU NA UTOAJI WA TAARIFA ZA FEDHA (FFARS).

Posted on: July 26th, 2023


Watendaji wa Kata na Vijiji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti wamepewa mafunzo ya mfumo wa uhasibu na utoaji wa taarifa za fedha (FFARS) wanaotakiwa kuutumia tangu kuanza kwa mwaka mpya wa fedha  2023/2024.

Akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Sudi S. Khassim alisema FFARS ni mfumo wa uhasibu na utoaji wa taarifa za fedha kwa ngazi ya kutokea huduma kama vile shule, Zahanati, vituo vya afya  na Sasa unaanza kutumia katika ngazi ya vijiji na Kata. Mfumo huu unalenga kuongeza uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika nyanja zote za kazi za kifedha zinazofanywa, utunzaji wa rasilimali sambamba na utoaji bora wa huduma katika Taasisi husika unayoihudumia.

Akitoa mafunzo hayo Mwezeshaji Christopher Bainga amesema lengo la  kutoa mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo watumishi, kuhakikisha fedha zinathibitishwa na kutumika vema kwa malengo yaliyokusudiwa.

" Msiogope mfumo, upokeeni utatusaidia, tuupende Ili tuuelewe vizuri ndiyo mfumo unaitumika sasa" Alisema Bainga.

Vilevile amesema, mfumo wa FFARS utasaidia kutoa picha kamili ya kiasi cha fedha kilichopokelewa, chanzo Cha fedha na namna fedha hizo zilivyotumika/ zitakavyotumika.

" FFARS imejikita kufanya manunuzi, kutoa taarifa juu ya fedha zinazoingia, utunzaji na namna fedha zinatumika" Alisema Bainga.

Hata hivyo Bainga amesema, mfumo huo utasaidia kuhakikisha sheria za manunuzi zinafuatwa hivyo ngazi ya Halmashauri na Kata zitakuwa na taarifa sahihi za mapato na matumizi ya fedha.

Mwezeshaji Bainga anefafanua kuwa,Ili kuweza kuingia na kutumia mfumo, Afisa Tehama wa Halmashauri atatengeneza akaunti ya FFARS ambayo itamwezesha mtumiaji kuingia kwenye mtandao huo Kwa kufuata maelekezo ya matumizi ya mfumo.

Naye Afisa Tehama  Nasolua Shilla ametoa angalizo kwa watendaji kuhakikisha wanatumia wenyewe mifumo na siyo kwenda kufanyiwa kazi kwani kazi wanazofanya ni za serikali zinahitaji usiri mkubwa.

" Msikwepe kutumia mifumo, tumieni wenyewe na Wala siyo kufanyia kazi steshenari  kwani hizo ni nyaraka za serikali" Alisema Afisa Tehama.

Akifunga mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi, Afisa Utumishi Sudi S. Khassim amewataka watendaji hao kutumia mafunzo hayo kwa weledi kwa kufanya mazoezi zaidi ili kuelewa  mfumo kwa haraka,

"Mfumo huu ni wa kidigitali, ili kuelewa kwa haraka Kila Mtendaji ahakikishe anafanya mazoezi ya mara kwa mara kwa kupitia simu janja mlizonazo" Alisema Sudi

Pia Ndugu Sudi amewaelekeza  watendaji wote kuhakikisha wanajaza fomu na wanasajiliwa katika mfumo na kisha watapewa vitabu vya check vitakavyo wawezesha kufanya malipo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.