• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

WATOTO 200 WAVISHWA VIATU NA TAASISI YA MAMA ONGEA NA MWANAO

Posted on: October 13th, 2022

Taasisi ya MAMA ONGEA NA MWANAO imeitembelea Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti na kugawa viatu jozi  200 na hijabu 100 kwa watoto wa shule 2 za Msingi  ambazo ni shule ya msingi Mwangia na Kimbendu..


Taasisi hiyo iliyoambatana na wasanii mbalimbali wakiunga mkono  kampeni ya Samia nivishe viatu iliyozinduliwa hivi karibuni nchini na Mhe. Rais Samia Suhuhu Hassan wamesema wanatarajia zoezi hilo kuwa endelevu ambapo katika zoezi hilo Kila shule watoto 100 wamepata viatu vipya na Kila shule pia watoto 50 wamepata hijabu.


Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Steve Mengele arimaarufu Steve Nyerere amesema kutokana na hali za uchumi wa watanzania wazazi wengi wanamudu kununua sare za shule na siyo viatu hivyo Kuna Kila sababu ya MAMA ONGEA NA MWANAO  kuunga mkono  kampeni ya Samia nivalishe viatu na inawezekana kwani kiatu ni safari.


Akizungumzia maadili Steve Nyerere amesema Kuna haja ya kuimarisha siku ya vipindi vya dini shuleni kama ilivyokua awali  Ili kuwajengea watoto hofu ya Mungu kuepukana na makundi mabaya kama  panya road..hayo amesema walipokuwa wakikabidhi hijabu kwa mabinti wa kiislam.


AkiitambulishaTaasisi ya mama ongea na mwanao Yvonne cherrie Maarufu kwa jina la Mona Lisa amesema taasisi inajishughulisha na mambo mbalimbali ya kijamii ,utamaduni, afya na siasa pia huku akidhihirisha kuwa bado wanatamani wadau wengi wajitokeze Ili kuweza kuwafikia watoto wengi zaidi katika kampeni ya Samia nivishe viatu ambapo katika zoezi hili wameshirikiana na Mamlaka ya Bandari (TPA) na Barron Shoes ambao ni watengenezaji, wasambazaji na wauzaji wa viatu walivyovigawa shuleni hapo vikiwa ni maalum kwa wanafunzi pekee.



Nae Mkurugenzi  na Mwanzilishi wa viatu vya Barron (Barron shoes) Jack Kawishe amesema viatu vyao ni vigumu  vizuri na imara vinavyotengenezwa na malighafi halisi ya kitanzania na kuunzwa ndani ya nchi..

Mwisho, Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti inaishukuru sana taasisi ya Mama ongea na mwanao pamoja na kundi zima la wasanii kwa majitoleo yao makubwa na kwa kugusa maisha ya watoto wa kitanzania wenye hali duni kimaisha ili kuweza kuwaongezea hamasa na hari ya kupenda shule.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.