• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

Ziara kwa mfugaji kijiji cha mtunda A

Posted on: November 4th, 2022

Mkazi wa Kijiji Cha  Mtunda A kilichopo katika Kata ya Mtunda Wilayani Kibiti ajulikanaye kwa jina la Kiday J. Lambo ni mfugaji  mwenye ng’ombe aina ya Boran na Sahiwa zaidi 500, kondoo Zaidi ya 100 na Mbuzi 150 ndani ya shamba lenye hekari takribani 1000 ameamua kuwekeza katika ufugaji maarufu kama “zero grazing ” . Ufugaji huo ni suluhu ya migogoro kati wakulima na wafugaji huria ambao mara kadhaa wamelalamikiwa kulisha mifugo yao kwenye mazao ya baadhi ya wakulima katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

Mbali na kujikita katika ufugaji wa kundi kubwa la ng’ombe, Bw. Lambo hufuga mifugo mingine kama vile mbuzi, kondoo,kuku,Bata n.k. katika eneo hilo.

Hata hivyo mfugaji huyo anatarajia kuleta mashine ya kisasa ya  kusaga nyasi kwa ajili ya kuhifadhi  chakula cha akiba cha mifugo yake Ili wakati wa kiangazi ng’ombe wasipate shida ya chakula. 

Pia Bw. Lambo  amesema kama wafugaji watapewa maeneo ya kudumu watatulia na kuepukana na ufugaji wa kuhamahama na endapo akipata eneo la kudumu yuko tayari kupangiwa utaratibu wa kulipa ushuru jambo ambalo litasaidia kukusanya mapato kwa urahisi na kukuza uchumi wa Halmashauri hiyo.

Akijibu swali aliloulizwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kibiti Mohamed Mavura  kuhusu mifugo kuambukizana  magojwa    Bwana Lambo amesisitiza kufanyika kwa kampeni ya chanjo ya Ndigana  katika kipindi hiki cha kiangazi kwani ni msimu wa mifugo kuambukizana magonjwa ya mlipuko kwani wanyama wengi hufa kwa ugonjwa huo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibiti Ndg. Mohamed Mavura amempongeza mfugaji huyo kwa kutumia fursa ya ufugaji katika kukuza uchumi kwa maendeleo yake binafsi ya Wilaya yetu na Taifa kwa ujumla. Vile vile Mkurugenzi amewataka maafisa mifugo kufanya tathmimi ya mifugo yote ili kupata idadi kamili jambo ambalo litasaidia kukusanya na kuongeza mapato katika halmashauri yetu.

Pia Bw. Mavura  ametoa wito kwa wafugaji wengine hasa wa kuhama hama wajifunze kutoka kwa  Kiday Lambo ambaye ameonesha nia ya kutaka kufanya vizuri zaidi katika eneo hili  la ufugaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.