• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

ZIARA YA MKURUGENZI KUKAGUA VYUMBA 21 VYA MADARASA

Posted on: November 10th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa  Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Ndg. Mohamed I. Mavura amekua na mwendelezo wa ziara za ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na fedha za Serikali Kuu  baada ya kupokea Tsh 420,000,000 kwa ajili ya vyumba 21 vya madarasa katika shule za Sekondari kwa mwaka wa masomo 2023.

Akiwa katika shule za Sekondari za Dimani, Mtawanya, Nyambili Nyambunda na Mwambao kwa nyakati tofauti Mavura amezipongeza kamati za majenzi kwa kasi na kazi nzuri zinazoendelea kuelekea hatua ya upauaji .

Bw. Mavura ameiagiza  Idara ya manunuzi kukamilisha manunuzi na kufikisha vifaa vya Ujenzi kwa wakati Ili kuendana na kasi ya majenzi inayoendelea katika miradi hiyo lengo likiwa ni kukamilisha kazi kwa wakati . Pia akazihimiza  kamati za majenzi kufuata maelekezo kutoka idara ya manunuzi na si vinginevyo kwani  wakienda kinyume na maelekezo  mapungufu yoyote yatakayijitokeza watahusika kufidia .

Vilevile Mavura amezisisitiza kamati za majenzi kuhakikisha zina mawasiliano ya karibu ili kutambua mapungufu na uhitaji wa vifaa vilivyosalia katika shule ambazo zimeshamaliza ujenzi kwa kuuziana au kuazimishana vifaa ili kuepuka kuanza kutafuta sehemu nyingine kwa gharama za juu.

“Kuna vifaa kama vile mchanga,kokoto,mbao za rinta hakuna haja ya kuanza kutafuta sehemu nyingine ni jambo la mawasiliano baina ya shule kwa shule Pamoja na idara ya manunuzi kwani sisi sote ni wajenzi wa nyumba moja”alisema Mavura.

Aidhaa Afisa Elimu Sekondari Anna Shitindi akiwa katika Sekondari ya Nyambili Nyambunda inayojenga tundu 12 za vyoo zenye thamani ya sh 12,000,000, kwa fedha za mapato ya amesisitiza Ujenzi huo kwenda sambamba na vyumba madarasa ili kusaidia kupata usajili wa shule kwa haraka pindi ukaguzi utakapofanyika.

Katika ziara hiyo Mkurugenzi aliambatana Afisa Elimu Sekondari Anna Shitindi Afisa Manunuzi ,Rose Kahembe na Maafisa mipango Naomi Maendaenda na Maulid Ndungutu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.