Posted on: July 25th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amekemea tabia ya wananchi kuchoma moto mashamba yao kiholela kwani ni hatari na yanaweza kuleta madhara makubwa.
"Sipendi kabisa tabia ya kuchoma...
Posted on: July 24th, 2024
24.07.2024
Kampuni ya Jenga Tanzania Agriculture imetoa msaada wa Vifaa kwaajili ya kusaidia shughuli za lishe wilayani Kibiti. Hii ni katika kuunga mkono jitihada za Serikali za kupunguza ama...
Posted on: July 24th, 2024
23.07. 2024
Kanisa La KKKT-DMP Jimbo la Kusini Misioni ya Kibiti wamekabidhi msaada wa nguo na viatu vilivyotolewa na Washarika mbalimbali kwa wahanga waliokumbwa na Maafa ya Mafuriko Wilayani humo...