Posted on: March 11th, 2023
11/3/2023.
Chama cha skauti Wilayani Kibiti kimeadhimisha miaka 106 ya kuanzishwa kwa skauti Tanzania bara, katika viunga vya shule ya Sekondari Zimbwini na kuhudhuriwa na makundi ya wanafunz...
Posted on: March 9th, 2023
Tarehe 9/3/2023
Ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa na ofisi ya walimu Katika shule ya msingi Kiasi wenye thamani ya sh 110 ulioanza mwaka 2022 umekamilika na madarasa yameanza kutumika.
T...
Posted on: March 7th, 2023
Tarehe 7.3.2023
Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imeungana na nchi nyingine ulimwenguni kusheherekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani katika uwanja Samora Wilayani humo na k...