• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

Kitengo cha Sheria


MAJUKUMU YA KITENGO CHA SHERIA

  • Kuhudhuria kesi mbalimbali Mahakamani.
  • Kutoa ushauri wa kisheria kwa Halmashauri pale itakapohitajika kufanya hivyo au itakapoonekana kuna umuhimu wa kushauri juu ya suala lolote la kisheria katika Halmashauri.
  • Kuhudhuria vikao vya kisheria vya Halmashauri, vikao vya Wakuu wa Idara,kamati za kudumu za Madiwani na Baraza kuu la Madiwani.
  • Kushughulikia mafaili mbalimbali yanayoletwa katika kitengo cha sheria yakihitaji kufanyiwa kazi.
  • Kuandaa taarifa za kila robo ya mwaka za shughuli zilizofanyika katika kitengo kwa kipindi husika.
  • Kupitia fomu mbalimbali za Mikopo ya Watumishi.
  • Kufanya usimamizi na kusimamia utendaji kazi wa Mabaraza ya kata katika Halmashauri.
  • Kuhudhuria mafunzo mbalimbali ndani na nje ya Wilaya yatakapokuwa yametokea.
  • Kupitia mikataba mbalimbali ni kuifanyia Approval kabla  ya kusainiwa na Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri.
  • Kuandaa nyaraka mbalimbali za kesi zilizopo Mahakamani.
  • Kuandaa mikataba mbalimbali inayohusu Halmashauri pale itakapohitajika kufanya hivyo.
  • Kushirikiana na Mtunza Hazina wa Halmashauri katika kushughulikia masuala mbalimbali ya kisheria katika shughuli nzima za ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.
  • Kuandaa rasimu mbalimbali za sheria ndogo za Halmashauri zinazotakiwa kutungwa na kusimamia upitishaji wake katika mamlaka mbalimbali.
  • Kushiriki na kufanya utatuzi wa migogoro mbalimbal iya kisheria katika Halmashauri.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria ndogo ndogo za Halmashauri katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri.
  • Kusaidia mamlaka za vijiji katika kutunga sheria Ndogondogo za vijiji vyao na kuwasaidia kuandaa mikataba mbalimbali ya utekelezaji wa shughuli za miradi mbalimbali katika maeneo yao.
  • Kufanya tafiti mbalimbali za kisheria (legal Research) kwa kesi  mbalimbali zilizopo Mahakamani.
  • Kufanya majukumu mengine mbalimbali kama yatakavyokuwa yameelekezwa na Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo.
  • Katibu wa kamati ya Ukaguzi ya wilaya (Audit Committee).
  • Kuvisaidia vijiji katika masuala mbalimbali ya kisheria yahusuyo vijiji vyao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.