• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKUU WA WILAYA YA KIBITI MHE.KANAL JOSEPH KOLOMBO AWATAKA WATUMISHI KUFUATA TARATIBU ZA UANZISHWAJI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI.

Posted on: August 12th, 2025

Hayo yamesemwa leo katika kikao na Walimu Sambamba na Viongozi wa Chama Cha Walimu Wilaya pamoja na Baadhi ya Walimu waliokuja na Chama kipya cha Walimu CHAKUWAWATA ambapo amewataka kuweza kufata taratibu za uanzishwaji wa chama kutoka ngazi ya Taifa,Mkoa hadi wilaya.

Aidha Mhe.Kolombo aliendelea kusisitiza walimu waweze kufanya kazi ambazo wameajiriwa nazo na kuwasilikiliza viongozi wao ngazi kwa ngazi ili waweze kuwa na utumishi bora kipindi chao chote cha Utumishi wa Umma na kuwa na usalama kazini.

Sambamba na hayo Mwanasheria wa Halmashauri ya Kibiti ndugu.Rajabu Mwinyi aliendelea kuwafahamisha ya kuwa Kuna taratibu za Kufata pindi unapotaka Kuanzisha Chama cha wafanyakazi Hivyo Msisitizo Mkubwa ni ufatwaji wa Sheria,Kanuni na Miongozo Mbalimbali ya Utumishi wa Umma pia kuhusisha Vyombo vinavyo simamia Utumishi wa Umma.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA KIBITI MHE.KANAL JOSEPH KOLOMBO AWATAKA WATUMISHI KUFUATA TARATIBU ZA UANZISHWAJI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI.

    August 12, 2025
  • UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA TAIFA YA CHANJO WAANZA WILAYANI KIBITI.

    June 30, 2025
  • NYAMATANGA YAKABIDHIWA GARI JIPYA LA WAGONJWA.

    June 27, 2025
  • KANALI KOLOMBO:SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

    June 12, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.