• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

TAARIFA YA ZOEZI LA UANDIKISHAJI KAYA KWAAJILI YA KAMPENI YA UGAWAJI VYANDARUA

Posted on: September 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Mhe.Kanali Joseph Kolombo amepokea Taarifa ya zoezi la uandikishaji Kaya kwaajili ya Kampeni ya ugawaji Vyandarua katika kila Kaya lengo ikiwa ni kuongeza umiliki wa vyandarua kufikia asilimia 80 katika jamii.

Afua hii ya matumizi ya vyandarua,inayolenga kutokomeza ugonjwa wa Malaria imeonyesha ufanisi wa asilimia sitini ikilinganishwa na afua nyingine zinazo tekelezwa zikilenga pia kutokomeza ugonjwa huu wa Malaria.Kampeni hii inaenda sanjari na utoaji vyandarua katika jamii kupitia Watoto chini ya miaka mitano,akina mama wajawazito na makundi maalumu.

Akizungumza wakati wa kupokea Taarifa hiyo ya zoezi la uandikishaji Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Mhe.Kanali Joseph Kolombo amewataka wanachi wa Wilaya ya Kibiti kuwa na matumizi sahihi ya vyandarua hivyo pindi vitakapowafikia ili kuendana na matakwa ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye lengo la kutokomeza ugonjwa wa Malaria ifikapo mwaka 2030.

Aidha ametoa rai kwa Wataalamu wa Afya na wajumbe wanaounda timu ya Wilaya ya uratibu wa zoezi hilo kuhakikisha wanafanya kazi kwa ufanisi ili kufanikisha zoezi la ugawaji wa vyandarua kama ilivyokusudiwa.

Kampeni hii ni mojawapo ya Afua muhimu kuelekea lengo la kutokomeza Malaria na inaratibiwa na Wizara ya Afya, OR-TAMISEMI, Bohari kuu ya Dawa (MSD) na Mfuko wa Dunia wa kupambana na magonjwa ya UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund)

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • TAARIFA YA ZOEZI LA UANDIKISHAJI KAYA KWAAJILI YA KAMPENI YA UGAWAJI VYANDARUA

    September 03, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KIBITI MHE.KANAL JOSEPH KOLOMBO AWATAKA WATUMISHI KUFUATA TARATIBU ZA UANZISHWAJI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI.

    August 12, 2025
  • UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA TAIFA YA CHANJO WAANZA WILAYANI KIBITI.

    June 30, 2025
  • NYAMATANGA YAKABIDHIWA GARI JIPYA LA WAGONJWA.

    June 27, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.