• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

69 WAHITIMU MAFUNZO YA AWALI YA MGAMBO KIBITI.

Posted on: November 30th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amefunga rasmi mafunzo ya Awali ya mgambo kundi la 8 , Jaribu mpakani katika Kata ya Mjawa yaliyoanza mwezi Julai na kuhitimishwa Leo Novemba 29 mwaka 2024.

Katika hafla hiyo jumla ya wahitimu 69 kati ya 92 walianza wamehitimu ambapo wanawake ni 11 na wanaume ni 58.

Akitoa pongezi kwa Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kuridhia mafunzo hayo Kanali Kolombo amewapongeza pia Wahitimu wote waliofanikiwa kuhitimu  mafunzo hayo kwa kujitolea sambamba na wakufunzi kwa kazi nzuri ya kuhakikisha wameiva kisawasawa.

Vilevile Kanali Kolombo amewaagiza Wahitimu hao kwenda kufanya kazi kwa uadilivu kwani thamani ya Ulinzi wa wananchi ni wananchi wenyewe ikijumlishwa na Wahitimu hao.

Kwa upande wa changamoto zilizotokea wakati wa mafunzo Kanali Kolombo amewaagiza Wakufunzi kuwa na mawasiliano ya karibu na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kero iliyopo iweze kutatuliwa kwa wakati kulingana na ukubwa wa tatizo huku akiahidi kutafuta ufumbuzi wa haraka.

Aidha Mshauri wa Mgambo wa Wilaya Meja. Spatiel Matonya katika taarifa yake amesema wanafunzi wanaohitimu kupitia Jopo la wakufunzi wake, wamepimwa kupitia mafunzo mbalimbali kwa masomo ya darasani na ya nje kwa vitendo na kukubalika.

Awali katika risala ya Wahitimu iliyosomwa kwa Mgeni rasmi ilieleza changamoto mbalimbali wanazopitia na kuomba Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kuwasaidia kugharamia sare ya mafunzo, buti , chakula cha Wakufunzi na Wanafunzi , kulipiwa vyeti na vitambulisho huku wakisisitiza kupewa kipaumbele cha kujiunga na jeshi la Kujenga Taifa nafasi zinapotokea.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.