• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

BARAZA LA MADIWANI LAFANYIKA KIBITI

Posted on: November 24th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo ametoa rai kwa Waheshimiwa Madiwani kuhimiza wananchi kujitokeza kuchukua mkopo wa 10% kwani Bado ngazi ya Wilaya vikundi ni vichache ukilinganisha na fedha iliyotolewa sambamba na kutoa elimu ya kwa kushirikiana na Idara ya Divisheni ya maendeleo ya jamii.


Vilevile amesema Kuna haja ya kuimarisha ulinzi  wa miundombinu mbalimbali inayohujumiwa na baadhi ya wananchi wasiowaaminifu ili ikaweze kutumika vizuri na kwa muda mrefu kwenye jamii husika pamoja na kulipa bili kutokana na matumizi yao hususani kwenye maji.

Kanali Kolombo amesema hayo alipokuwa akitoa Salamu za Wilaya ya Kibiti katika Baraza la Waheshimiwa  Madiwani lililoketi  Novemba 22,  2024  kujadili taarifa mbalimbali kwa mwaka wa Fedha 2024/2025 robo ya kwanza.

Kwa upande wa taarifa ya TARURA Mkuu huyo wa Wilaya ameshauri bajeti inapotolewa nguvu kubwa ielekezwe  kutengeneza maeneo korofi ili kurahisisha kuweza kupitika kwa urahisi zaidi kwa mwaka mzima.

Mbali na hayo Kanali Kolombo amethibitisha kuwa hali ya Ulinzi na usalama wa raia ni salama huku akisisitiza wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika jumatano ya wiki ijayo ya Novemba 27 mwaka huu.


Hata hivyo taarifa zilizojadiliwa katika baraza hilo ni taarifa za miradi wa WDC kutoka katika Kata zote 16, taarifa za Kamati za kifedha ( Kamati ya uchumi, fedha, Ujenzi na mazingira, huduma za jamii, maadili na Kamati ya ukimwi na Taasisi mbalimbali za TARURA, RUWASA na TANESCO na kupokekelewa na Baraza hilo.

Aidha Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Denis Kitali katika mkutano huo amesema ngazi ya Wilaya maelekezo maoni na ushauri wamepokea na watayafanyia kazi.

Akifunga mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Ramadhan Mpendu amewashukuru Waheshimiwa madiwani ,Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Wataalam kwa michango yao na kushiriki hususani katika msiba wa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Marehemu Mhe. Omari Twanga, aliyefariki Dunia Novemba 19 na kuzikwa November 20 mwaka huu.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO:SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

    June 12, 2025
  • PPRA KANDA YA PWANI YATOA MAFUNZO KUHUSU SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA NA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA UNUNUZI WA UMMA

    June 12, 2025
  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.