• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

DC KOLOMBO AZINDUA UTOAJI WA CHANJO YA MATONE YA VITAMINI A

Posted on: December 4th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo akiwa na Katibu Tawala Bi Maria Katemana amezindua kampeni ya Matone ya vitamin A na dawa Kinga za minyoo ambayo itatolewa katika vituo vyote vya Afya  kwa muda wa mwezi mzima kwa watoto wenye umri wa miezi 6 -59 (chini ya miaka 5).

Katika hafla hiyo iliyofanyika katika Kituo cha Afya Kibiti Kanali Kolombo amesema Serikali ilipokea chanjo hizi nchini ili wananchi  waweze kujikinga na maradhi yanayoweza kulipuka lengo kuu likiwa ni kuhakikisha kunakuwa na jamii yenye Afya Bora .

Hata hivyo amewapongeza kinamama na kinababa waliojitokeza kupeleka watoto wao huku akisisitiza wakitoka hapo wakahamasishe wenzao ambao hawajawapeleka watoto wao kupata huduma hiyo muhimu.

"Chanjo ambazo zimeshatolewa nchini ni kama polio, ndui, surua, COVID 19 , homa vya ini n.k na baada ya chanjo hizo kutolewa kuna baadhi ya maradhi yaliweza kupotea kabisa "Alisema.

Aidha Afisa lishe wa Wilaya ya Kibiti Bi. Roina Dazo amesema Vitamini A ni kirutubisho muhimu kwa ukuaji wa ngozi na uadilifu, hususani katika utendakazi wa kinga, ukuaji wa mifupa,  ukuaji wa kiinitete katika mwili wa binadamu n.k


Vilevile kwa upande wa dawa za minyoo amesema, zinasaidia kumlinda mtoto dhidi ya upungufu wa damu, zinaleta hamu ya kula na pia zinazuia kupungua kwa uzito na zinaboresha Afya ya mtoto.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.