• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

DKT. ALICE KAIJAGE ATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KIBITI MHE. MPEMBWENE AMSHUKURU KWA KUWA NA MOYO WA KUJITOA

Posted on: April 11th, 2024

Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Pwani Mwakilishi wa Wafanyakazi Tanzania Bara Mhe. Dkt. Alice Kaijage, amewasili Kibiti Leo Tarehe 11.4 .2024  na kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali pamoja na fedha taslimu kwa wahanga wa Mafuriko ya maji ya mvua kutokana na kuongezeka kwa maji katika mto Rufiji.

Vifaa vilivyotolewa ni sabuni ya unga ya kufulia kiroba 1,  unga wa sembe viroba 20 vyenye ujazo wa kg 5, chumvi katoni 4, mafuta ya kupaka boksi 1, sabuni ya mche boksi 1, dawa za meno dazani 1, miswaki pisi 36, majani ya chai boksi 1 yenye ujazo wa g 50 na pesa taslimu sh. 200,000 kwa ajili ya mafuta ya boti kuweza kuwafikia wahanga visiwani (delta).

Akikabidhi vifaa hivyo Mhe. Dkt. Alice amesema tangu Mafuriko yatokee mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe aliacha shughuli za kibunge na kuja kuungana na wananchi wake, hivyo ameona ni wakati sahihi wa kumuunga mkono mhe. Mpembenwe kwa kuwafariji wahanga wa Mafuriko hayo kwa kidogo alichojaliwa.

"Nimekuja kumuunga mkono Mhe. Mpembenwe, Kwa kidogo nilichokileta hapa kwa hawa ndugu zangu ninaamini kitawagusa kwa namna moja au nyingine kwenye mahitaji yao katika kipindi hiki" Alisema Dkt. Alice.

Vilevile Mhe. huyo amewashukuru viongozi wa Chama Tawala (W) UWT viti maalum na Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Kamati ya mapokezi kwa kuitikia wito wa kumuunga mkono katika shughuli hiyo ya kijamii.

Akipokea vifaa hivyo Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe amemshukuru Mhe. Alice kwa kuonyesha moyo wa upendo, kujitoa kuwagusa wakazi wa Kibiti waliopatwa na Mafuriko, huku akiahidi kuwa msaada uliotolewa utawafikia wahanga kama ulivyokabidhiwa.

"Tunakushukuru sana Dkt Alice, umegusa maisha ya wanakibiti hasa katika kipindi hiki muhimu cha maafa ya Mafuriko" Alisema Mpembenwe.

Mara baada ya kupokea msaada huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Ndg. Hemed Magaro kwa niaba ya watumishi wote amemshukuru Mbunge huyo kwa kujali na kuwathamini wanakibiti katika wakati huu wanaopitia kwani msaada alioutoa ni sehemu ya uhitaji wa mahitaji muhimu kwa wahanga hao.

"Msaada huu unakwenda kunusuru maisha ya wahanga katika Kata zilizokubwa na Mafuriko, hivyo niwasihi tu kwa wengine mtakaoguswa karibuni kutuunga mkono katika kipindi hiki" Alisema Magaro.

Aidha Mwenyekiti wa UWT Wilaya Mhe. Tatu Mkumba mbali na pongezi ametoa wito kwa jamii kuendelea kujitoa kuwasaidia ndugu zetu kupitia misaada mbalimbali kwani Bado kuna uhitaji mkubwa.

"Tunashukuru kwa jitihada zako kuhakikisha unatufikia kutushika mkono, ahsante sana". Alisema Mkumba.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.