• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

Posted on: May 6th, 2025

Taasisi ya Pakaya inayojihusisha na mradi shirikishi wa Uhifadhi wa Misitu ya Mikoko na bayonuai nyinginezo  ya Wilaya ya Kibiti,  imeanza utekelezaji wa uanzishwaji wa ujenzi wa Kituo cha Utalii Ikolojia katika fukwe ya Kijiji cha Jaja kilichopo kata ya Kiongoroni Tarafa ya Mbwera.

Akizungumza na Wataalamu wa Wilaya ya Kibiti Mkurugenzi Mtendaji na Meneja mradi huo ndg. Bakari Kisoma amesema Pakaya imelenga kuendeleza wanajamii wa vizazi vya sasa  na vijavyo sambamba na  uhifadhi wa mazingira katika Delta hiyo ya Rufiji.


Mara baada ya kukagua eneo Hilo, Afisa Tarafa ya Mbwera Ndg. Lucas Magai amesema  mradi huo  utaweza kuinua vipato vya wananchi kwa ujumla, hivyo  kwa manufaa hayo ngazi ya wilaya watatoa ushirikiano kuhakikisha jitihada za PAKAYA zinatekelezwa katika Tarafa hiyo.

Katika kutekeleza mradi huo Afisa Maliasili na Utalii Ndg. Dotto Mandago ameiagiza Taasisi hiyo kushirikiana kwa ukaribu na Halmashauri kwa kufuata Sheria na kuzingatia tamaduni za jamii husika.

Ili kuenzi tamaduni za Pwani  Kaimu Afisa Utamaduni Ndg.Francis Kimario amesisitiza kuwa  miundombinu inayojengwa, huduma na burudani zitakazotolewa ziendane na utamaduni wa eneo la Jaja.

Licha ya kupongeza shirika hilo kwa kuiona Jaja kupitia fukwe nzuri iliyopo Mwenyekiti wa Kijiji cha Jaja amesisitiza kuwepo kwa mkataba utakaoonesha namna wanakijiji hicho watavyonufaika kupitia uwekezaji huo.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Meneja wa TFS Ndg, Rasuli Msuya amesema kupitia jukumu lao la ulinzi wa misitu watakakikisha urejeshwaji wa uoto wa asili unarejea hususani mbwera magharibi ambapo utekelezaji unaendelea chini ya PAKAYA

Aidha shughuli nyingine zinazoendelea kutekelewa katika mradi huo ni uanzishwaji wa ufugaji nyuki na tayari wamekwisha gawa mizinga na vifaa vya kukamulia asali katika Kijiji cha Kiongoroni na Msala.

 Pia kutakuwa na vituo vya biashara ya mazao ya Pwani na bahari.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.