• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KAMATI YA FEDHA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI

Posted on: April 28th, 2021

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango tarehe 27/04/2021ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Ramadhani Mpendu ilifanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo pamoja na vikundi vya ujasiliamali ambavyo vilipatiwa mikopo na Halmashauri ikiwa ni takwa la kisheria la kutoa asilimia kumi(10%) ya makusanyo ya mapato yake ya ndani, ni utaratibu wa kawaida kwa kamati hiyo kutembelea miradi kila baada ya robo mwaka.

Miradi minne(4) ilitembelewa ikiwa ni ujenzi wa madarasa mawili na matundu manne ya vyoo shule ya msingi Bungu’A’ ambayo walipata ufadhili toka   Songas,Ujenzi wa madarasa matatu na ofisi ya walimu shule ya msingi Mangombela pia walipata ufadhili toka Songas,Ujenzi wa chumba cha maabara shule ya sekondari Mtawanya kwa fedha ya mapato ya ndani,Ujezi wa wodi tatu ya wanaume,wanawake na Watoto hospitali ya Wilaya kwa ruzuku toka Serikali kuu pamoja na vikundi viwili vya ujasilia mali cha wanawake Kijiji cha Motomoto ambacho kilipatiwa kiasi cha shilingi milioni tatu(3,000,000/=) awamu ya pili kwa shughuli za kilimo cha ufuta na kikundi cha bodaboda ‘Terminal’ kilichopatiwa shilingi milioni ishirini na mbili(22,000,000) kwa ajili ya ununuzi wa Bajaji tatu(3) fedha hizi zilitolewa na Halmashauri kutoka kwenye mapato yake ya ndani.

Kwenye ziara hiyo kamati ilirizishwa na maendeleo ya hatua zilizofikiwa za ujenzi wa miradi yote na kupongeza wataalam kwa usimamizi mzuri.

Kamati ilifurahishwa sana na ushiriki wa wananchi wa Kata ya Bungu kwa moyo wa kujitolea kwenye kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za kijamii zinazofanyika kwenye kata yao.”Natoa pongezi kwa Wananchi wa Bungu kwa moyo mkubwa wa kujitolea wanao uonyesha  kwani kiasi cha fedha walichopatiwa na wafadhili kilikuwa kidogo ukilinganisha na kazi kubwa iliyofanyika NAWAPONGEZA SANA” pongezi hizi zilitolewa na makamu mwenyekiti Mhe.Omari B. Twanga kwa niaba ya kamati.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.