• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA KIWANDA KIDOGO CHA KUTENGENEZA SABUNI ZA KUFULIA NA KUOSHEA VYOMBO KIBITI.

Posted on: October 26th, 2021

KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA KIWANDA KIDOGO CHA KUTENGENEZA SABUNI ZA KUFULIA NA KUOSHEA VYOMBO KIBITI.

Leo tarehe 26.10.2021 kwenye ukaguzi wa miradi robo ya kwanza kamati ya Fedha,Utawala na Mipango imetembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti.

Miradi iliyotembelewa  ni Ukarabati wa Zahanati na ujenzi wa nyumba ya mganga  Mchukwi kiasi cha shilingi 48,000,000/=fedha iliyotolewa na wahisani(RBF),Ujenzi wa kituo cha afya Mjawa shilingi 250,000,000/= fedha iliyotolewa na serikali kuu(Tozo ya miamala ya simu),Ujenzi wa banda la kupumzikia abiria kituo cha basi Kibiti 20,000,000/= fedha ya mapato ya ndani pamoja na kikundi cha wanawake wajasilia mali wanaujulikana kama MKOMBOZI GROUP ambapo walipatiwa kiasi cha shilingi 19,869,972/= toka kwenye asilimia kumi ya Wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu.

Kikundi hiki cha wajasilia mali kina jumla ya wanachama watano ambao waliungana na kuamua kuanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza sabuni zinazojulikana kama KIBITI SOUP.

Aidha,baada ya kutembelea kiwanda hicho mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Ramadhani Mpendu pamoja na wajumbe wenzake wa kamati ya fedha waliwapongeza wanawake hao kwa kuthubutu kuanzisha kiwanda  hicho na kuwashauri kujitangaza zaidi ili kupata soko la uhakika, katika kuunga jitihada zao mwenyekiti wa Huduma za jamii ambaye pia ni diwani wa Kata ya Kibiti Mhe. Hamidu Ungando alisema yeye anatumia sabuni hizi na kila anapofanya vikao mbalimbali anakwenda na sabuni zao ili kuzitangaza na kuwatafutia soko.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.