• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KAMATI YA UGAWAJI WA ARDHI YAJIRIDHISHA NA ZOEZI LA UGAWAJI WA VITALU KWA WAFUGAJI.

Posted on: August 23rd, 2024

20.08.2024

Kamati ya ugawaji wa ardhi Wilaya ya Kibiti imefanya ziara yenye lengo la kujiridhisha juu ya ugawaji wa maeneo ya malisho kwa wafugaji kwa kufuata taratibu pamoja na kupokea kero na migogoro iliyopo katika maeneo hayo.

Katika ziara hiyo Kamati ilibaini vitalu 3 katika Kijiji cha Mtunda na kitalu 1 katika Kijiji cha Uchembe vinauhitaji wa fidia kabla ya kugawiwa kwa wafugaji. Pia Kamati hiyo ilibaini Serikali za vijiji zimeridhia mpango huo.

Vilevile Kamati imeagiza wafugaji wote wenye vitalu kushauriwa kuweka mabango makubwa yenye kutambulisha vitalu husika (Ranchi ndogo), kuhakikisha utaratibu wa kuwafidia wakulima walioendeleza maeneo yao kabla ya wafugaji kumilikishwa hususani vitalu no 76A, 61A, 104 katika Kata ya Mtunda na kitalu namba 1 katika Kijiji cha uchembe.

Maagizo mengine yaliyotolewa ni kuandaa mpango wa  matumizi ya vitalu vya mashamba darasa katika kila Ranchi na pia Halmashauri kuhakikisha wafugaji wote waliopatiwa vitalu wanahamishia mifugo yao kwenye vitalu husika.

Aidha Kamati imeridhia mchakato wa ugawaji wa Ranchi kuendelea isipokuwa vitalu namba 76A, 61A na kitalu namba 1 mpaka utatuzi utakapopatikana.

Kamati hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Ndg. Hemed Magaro, Afisa Ardhi Mteule Bw. Zephania Sabo, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi, Mazingira na Ujenzi ambaye ni mjumbe wa kamati ya ugawaji wa ardhi, Mhe. Yusuph Mbinda, Mhe. Zainabu Chitanda Diwani Viti Maalum, wakiwa wameambatana na Wataalam pamoja na Wenyeviti na wajumbe wa Vijiji.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.