• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KANALI KOLOMBO AHITIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI KIBITI

Posted on: December 12th, 2024

Mkuu wa wilaya ya kibiti Kanali Joseph Kolombo amewaagiza Viongozi wote kuanzia ngazi ya mitaa kuhakikisha wanatokomeza na kufuatilia changamoto za ukatili wa kijinsia katika maeneo yao pindi yatokeapo au panapokuwepo na viashiria hivyo.


Kanali amebainisha hayo katika Kilele cha maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Duniani yalifofanyika kituo cha mabasi kibiti, yaliyobeba kauli mbiu inayosema ( kuelekea miaka miaka +30 ya Beijinig chagua kutokomeza ukatili wa kijinsia).

Akisoma taarifa Bi. Agatha Lema kutoka Shirika la msaada la Norway chini ya kanisa KKKT (NCA) amesema ukatili wa kijin sia ni suala ambalo linaathiri jamii wahanga wakiwa wanawake, wanaume na watoto kwa asilimia kubwa kama vile vipigo, ubakaji, unyanyasaji wa Kingono, kijinsia n.k

Aidha amesema kupitia shirika hilo wamekuwa wakitekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile uwezeshaji wananchi kiuchumi kupitia IR VIKOBA, utawala bora, pamoja na elimu nadharia kama vile utengenezaji wa sabuni, batiki, ufugaji wa kuku na nyuki jambo linalowawezesha kujikwamua kiuchumi na kuepukana na utegemezi.


Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Twaha mpembenwe amesema kuna kila sababu ya kuhakikisha ukatili wa kijinsia unakomeshwa kwani unachangia kuchelewa kwa maendeleo kutokana na rasilimali watu kupotea.

Naye Diwani wa Kata ya Kibiti Mhe. Hamidu Ungando kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri ameishukuru Serikali kwa kuona umuhimu wa kuwa na vituo vya kutoa msaada kwa kisheria kwa wananchi wasiojiweza huku akipongeza Taasisi za dini kwa mashirikiano mazuri.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.