• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KANALI KOLOMBO AONGOZA ZOEZI LA KUZIMA MOTO ULIOZUKA KARIBU NA JENGO LA HALMASHAURI.

Posted on: July 25th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amekemea tabia ya wananchi kuchoma moto mashamba yao kiholela kwani ni hatari na yanaweza kuleta madhara makubwa.

"Sipendi kabisa tabia ya kuchoma moto hovyohovyo na ninalaani kitendo hiki" Alisema Kolombo.

Kanali Kolombo amesema hayo Jumanne ya tarehe 23.07.2023 baada ya moto mkubwa kuzuka katika maeneo ya jirani na jengo la Halmashauri ya Wilaya hiyo na kuleta taharuki kulingana na miundombinu iliyokuwepo karibu na moto huo.

Hata hivyo Kanali Kolombo ameagiza kusakwa kwa mhusika aliyewasha moto huo na kufikishwa mbele ya vyombo vya Sheria.

Akishuhudia tukio hilo Mtaalam na Mshauri wa masuala ya dharura na maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Christopher Mzava amesisitiza kuacha tabia ya kudharau moto akisema ni muhimu kuchukua hatua haraka kabla moto haujawa mkubwa.

"Moto usidharauliwe hata kidogo, hatua za awali zichukuliwe mapema kukabiliana nao lakini kuchelewa na kupuuzia kunaweza kuleta madhara makubwa zaidi" Alisema Dkt. Mzava.

Dkt. Mzava na timu yake kutoka Kitengo cha maafa Ofisi ya Waziri Mkuu wamekuwa Wilayani Kibiti kwa takribani mwezi sasa wakitoa mafunzo huhusu kujiandaa, kuzuia, kukabiliana na kurudisha hali pindi maafa yanapotokea na ghafla dharura ya moto ikajitokeza.

Kwa habari picha ni watumishi na wananchi waliofika kuhudumiwa Wilayani hapo wakisaidiana kuzima moto huo.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.