• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KANALI KOLOMBO ARIDHISHWA NA MAONESHO YA 88 BANDA LA HALMASHSURI YA WILAYA YA KIBITI.

Posted on: August 7th, 2024

Asisitiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya mikopo ya 10%

06.08.2024.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewashukuru wajasiriamali wa Kibiti kwa kushiriki Maonesho ya nanenane pamoja na kuonesha bidhaa zenye uhalisia zinazozalishwa ndani ya Wilaya ya Kibiti.

"Lengo la nanenane ni kuangalia je tunalima? Je tunazalisha kiasi gani cha mazao, niwaombe tu muendelee kujipanga vizuri na kuchangamkia fursa ya mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri" Alisema Kolombo.

Kanali Kolombo amesema hayo kwenye Maonesho ya , nanenane Kanda ya Mashariki katika Viwanja wa Mwl. Julius Nyerere Morogoro alipotembelea na kukagua bidhaa mbalimbali katika banda  la Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti.

Vilevile Mkuu huyo wa Wilaya amewataka wawekezaji kujitokeza kuwekeza Kibiti kwani ni sehemu nzuri ya kuwekeza kutokana na uwepo maeneo mazuri ya uwekezaji yenye udongo wenye rutuba.

"Kibiti tuna maeneo mazuri ya uwekezaji wa kilimo, na habari njema ni kwamba tumepata mwekezaji wa kilimo Cha Alizeti ambaye tumempa Hekari 15,000. 

Katika kuhakikisha mkulima huyo analima kilimo chenye tija kupitia maafisa ugani wamepima Afya ya udongo na kumshauri aina ya mbegu gwala 4 na high sun 33 zinazozaa alizeti yenye mafuta mengi, bado tunahitaji wawekezaji wengine wengi zaidi mkaribie Kibiti kwani maeneo ya uwekezaji bado yapo" Alisema.

Mbali na hayo pia Kanali Kolombo amesisitiza kilimo kuendana na utunzaji wa mazingira ambapo ameagiza viongozi kuhakikisha 50% ya miti inayopandwa iwe ya miti ya mikorosho na matunda, jambo litakalosaidia kutunza Mazingira kwa muda mrefu na kukuza uchumi kwa ujumla.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.