• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KANALI KOLOMBO ASISITIZA WANANCHI KWENDA KUHAKIKI NA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA.

Posted on: September 18th, 2024

17.09.2024.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewataka wananchi  kujiandikisha na kuhakikisha majina yao yapo kwenye daftari la kudumu la mpiga kura  ikiwa ni sehemu ya maboresho ya daftari hilo ili kuepuka usumbufu wa kushindwa  kupiga kura katika siku ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu nchi nzima.

Pia Kanali Kolombo amewasisitiza Wananchi wote wenye sifa na uwezo wa kugombea, kuchukua fomu na kugombea Uongozi huo wa Serikali za mitaa ili kufanya mageuzi ya Maendeleo.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema hayo alipokuwa kwenye  ziara maalum katika Kata ya Mchukwi na Dimani yenye lengo la kuwambusha na kuhamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Mbali na Uchaguzi pia Kanali Kolombo amesikiliza, kujibu na kuchukua kero za wananchi wa Kata hizo kwa nyakati tofauti huku akiahidi kumaliza migogoro iliyopo kwa kadri itakavyowezekana.

Nao Madiwani wa Kata ya Dimani na Mchukwi walimkaribisha Mkuu wa Wilaya huyo wakisema Kata zao ni salama na zipo tayari kwa uchaguzi huo, huku wakawasisitiza wananchi wao kuwa kila anayejiona ana sifa za kuchukua fomu na kugombea achukue akagombee nafasi husika. 

Awali Wananchi wakazi wa Mchukwi na Dimani walisema kero zinazowasumbua zaidi ni uhitaji wa umeme, maji, Barabara, uchakavu wa majengo ya vituo vya kutolea huduma, ukosefu wa nyumba za watumishi, upungufu wa watumishi, uhitaji wa walimu wa elimu maalum pamoja kuchelewa kwa vitambulisho na namba za askari wa jeshi la akiba baada ya mafunzo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.