• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KATIBU WA JUMUIYA YA WAZAZI AUNGURUMA KIBITI, ASISITIZA WAZAZI KUSIMAMIA MALEZI NA MAADILI YA WATOTO.

Posted on: September 23rd, 2024

22.09.2024.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Taifa Ndg. Ally Salum Hapi (Mnec) ameendelea na ziara yake ya kikazi Mkoani Pwani ambapo jana alifanya ziara hiyo katika Wilaya ya kibiti akiwa ameambatana na wenyeji wake wa Jumuiya pamoja na Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe.

Lengo kuu la ziara hiyo ni kutembelea na Kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo, kuzungumza na Wanaccm pamoja na  Wananchi kupitia mkutano wa  hadhara Wilayani humo.

Ndg. Hapi ametembelea mradi wa majengo ya shule za sekondari mbili ambazo ni Shule ya Sekondari  Mwananchi na Shule ya Sekondari Dkt. Samia Suluhu Hassan- Lumiozi. Katibu huyo amefurahishwa na miradi hiyo huku akiwataka wananchi kupeleka watoto wao kupata elimu katika shule hizo lakini pia Walimu na wanafunzi kutunza miundombinu ya shule hizo ili ziweze kusaidia vizazi vijavyo na kusisitiza watoto hususani wa kike kusoma kwa bidii.

Mbali na hayo pia Mhe. Hapi amewataka Wazazi kuwa makini na malezi ya watoto wao bila kuamini watu wengine sambamba na kuhakikisha watoto hao wanakwenda shule na wanaodokana na adui ujinga, umaskini na maradhi.

"Wazazi tuweni makini kuhusu watoto wetu na tusimuamini mtu haswa katika malezi, tupambane na Maadui watatu ambao ni ujinga, umasikini na maradhi" Alisema.

Vilevile amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo kupeleka hoja zitakazosaidia kupata fedha kwa ajili ya kununulia kemikali zitakazotumika kufanyia mazoezi ya ujifunzaji kwa vitendo (Practical) kwenye Maabara zilizojengwa katika shule hizo kwa haraka.

Aidha akiwa katika shule ya Sekondari ya Mwananchi amemuagiza Mkuu wa Wilaya hiyo Kanali Joseph Kolombo kuhakikisha ndani ya wiki Moja anahakikisha RUWASA inapeleka maji shuleni hapo.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe ameelezea kwa ufasaha Utekelezaji wa Ilani huku akiweka wazi wananchi kiasi cha pesa zilizotolewa na Mhe. Rais SSH ambazo zimetekeleza na zinaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo Jimboni humo.

Mwisho Mhe. Mpembenwe baada ya kumpongeza Mhe Rais alimuomba  Mgeni rasmi kwa niaba ya wakazi wa Kibiti kufikisha salamu zao za shukrani kwa Mama Samia kwa namna alivyoithamini Kibiti na kuwapatia mabilioni ya fedha na kazi zinaendelea.

"Hatuna deni na Mhe. Rais, ila sisi tunamuahidi kumlipa kura nyingi za kishindo, tunasema Mama Samia mitano tena" Alisema Mpembenwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.