• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIBITI NA MAFIA KUIMARISHA USAFIRI WA ABIRIA NA MIZIGO BANDARI YA NYAMISATI.

Posted on: June 26th, 2024

25.06.2024

Wakuu za Wilaya za KIBITI na MAFIA wakiwa na Kamati za Ulinzi na Usalama kutoka pande zote wamefanya ziara ya ujirani mwema ikiwa ni pamoja na kujadili masuala ya usafirishaji katika bandari muhimu ya Nyamisati.

Mara baada ya kuwasili katika bandari hiyo Mwakilishi wa Meneja wa bandari ya Nyamisati Bw. Abubakar Rashid Bakari alielezea changamoto mbalimbali wanazokabiliwa nazo kama vile uchache wa meli kwani iliyopo haikidhi mahitaji ya wateja wao, kutokuwa na muda sahihi wa meli kufika na kuondoka, ufinyu wa eneo la abiria kusubiri usafiri, n.k

Wakiwa katika Kijiji cha Nyamisati mara baada ya kutembelea sehemu mbalimbali ndani ya bandari walisikiliza pia changamoto na kero kutoka kwa wananchi ili kuweza kutafuta mwarobaini katika bandari hiyo.

Baada ya kikao kufanyika Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo  amesema kwa pamoja wameazimia  kuongeza na kutengeneza meli ya songosongo kwa haraka ili ianze kutumika na kupunguza adha ya msongamano wa watu bandarini, ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu yote ya bandari.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Mafia Bi. Aziza Mangosongo amesema lengo la ziara yao ni kujadili mustakabali wa usafiri wa abiria na mizigo kutoka Nyamisati kuelekea Mafia na hii ni baada ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu changamoto wanazopitia bandarini hapo.

Hata hivyo Mkuu huyo wa Wilaya amebainisha kuwa baada ya majadiliano wameazimia mengi na kuafikiana kwa pamoja kutengeneza meli ya  songosongo ili kuweza kupunguza msongamano wa watu na kufanya meli kuwa 2 jambo litakalorahisisha usafirishaji wa mizigo ambayo mara nyingi huchelewa kusafirishwa, kuongeza jengo la abiria kusubiri usafiri, namna nzuri ya kukata tiketi mapema, pamoja na kukumbushia utengenezaji wa Barabara kutoka Bungu hadi Nyamisati ambayo tayari iko kwenye bajeti.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.