• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIBITI: VISIMA 5 VYA MAMA VYAKAMILIKA KWA 98%, VYAANZA KUTOA MAJI.

Posted on: November 11th, 2024

Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kibiti (KUU) , wakiongozwa na Mwenyekiti Kanali Joseph Kolombo imefanya ziara ya kutembelea Visima 5 vya maji kati ya 900 kwa nchi nzima vilivyotolewa fedha na , Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye amedhamiria kwa dhati kumtua mama ndogo kichwani.


Kwa nyakati tofauti wakiwa katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya Kanali Kolombo ameridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa mradi huo baada ya kujionea maji yakitoka katika visima vyote huku  akisisitiza kuwa siyo visima vya kukauka vimechimbwa kitaalam.

Akitoa pongezi kwa Mhe. Rais Kanali Kolombo ametoa rai kwa wakazi waliofikiwa na mradi huo, kuhakikisha wanalinda na kutunza vizuri visima hivyo ili vikaweze kutumika kwa muda mrefu sambamba na kutunza miundombinu ya visima hivyo ( mabomba , Sola nk.)

Vilevile Kanali Kolombo amewapongeza na kuwashukuru wananchi wote waliowiwa kutoa maeneo yao kwa ajili ya mradi huo wa uchimbaji wa visima ambao kwa sasa unanufaisha wakazi wengi na kupumzika kwenda mbali kutafuta maji.

Hata hivyo, Kanali Kolombo amemwagiza Meneja wa RUWASA kuhakikisha kabla ya kukabidhi mradi huo, visima vyote viwe vimeandikwa kuwa ni visima vya Mama ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo.

Kwa upande wao wananchi wamemshukuru sana Mhe. Rais kwa kwa kuwakumbuka katika huduma hiyo muhimu, na wameahidi kulinda visima hivyo pamoja na miundombinu yake. Wananchi hao pia wameomba maeneo ya mradi kuwekewa taa, huku wakiomba panapomajakiwa visima hi yo viongezwe katika maeneo mengine kwani Bado changamoto ipo.

Aidha licha ya kushukuru Serikali ya awamu ya sita Meneja wa RUWASA Wilaya ya Kibiti Ndg. Ramadhan Mabula amesema miradi imetekelezwa katika  Kata ya Mchukwi Kijiji cha mangwi, Nyakaumbanga, Kata ya Ruaruke  Kijiji cha Nyamatanga, Rungungu,  na  Kata ya Bungu (Pagae).

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.