• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIBITI YAADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU KWA KUFANYA USAFI

Posted on: December 10th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali.Joseph Kolombo mapema hii leo tarehe 9/12/2024 amewaongoza Wananchi wa Kibiti katika zoezi la kufanya Usafi kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania.

Zoezi hilo limefanyika katika sehemu mbalimbali ikiwemo maeneo ya Kituo cha Mabasi Kibiti, maeneo yanayolizunguka Soko la Kibiti pamoja na kando kando ya Barabara kuu inayopita kuelekea Mikoa ya Lindi na Mtwara.

Akizungumza wakati wa Zoezi hilo Kanali Kolombo amewataka wamiliki wa baadhi vyumba vya biashara vinavyolizunguka Soko la Kibiti ambavyo vingi bado havijakamilika kukumbuka kufanya usafi mara kwa mara kwa ajili ya kuweka safi mazingira yanayoyazunguka maeneo hayo.

‘’Leo tumeshiriki zoezi la kufanya usafi ikiwa ni sehemu ya maagizo yaliyotolewa na Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kuadhimisha Siku hii ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa ngazi ya Wilaya,tumefanya usafi katika soko hili lakini bado siridhishwi na hali ya Usafi katika eneo hili.Wako baadhi ya watu ambao wamechukua vyumba vya biashara na kuvijenga nusu na wameondoka wameacha maeneo hayo yakiendelea kuota nyasi’’

Katika hatua nyingine amewataka Viongozi wa Serikali za Mitaa Pamoja na Viongozi wa Soko la Kibiti kuhakikisha swala la usafi linafwatiliwa na kuwawajibisha wale ambao watakiuka misingi hiyo ikiwemo kutozwa faini na Shilingi 50000 kwa kushindwa kutimiza agizo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.