• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIKAO CHA WADAU WA KOROSHO KWA MSIMU MPYA WA MAUZO

Posted on: October 17th, 2022

Msimu mpya wa Mauzo ya korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya kibiti umezinduliwa rasmi katika ukumbi wa Halmashauri hiyo, ikiwa ni utaratibu wa kawaida kwa Wadau wa korosho kukutana na kujadili ili kuboresha taratibu mbalimbali za uuzaji wa zao la Korosho kwa msimu husika.

Akizindua mkutano huo mkuu wa wilaya ya Rufiji anaekaimu Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele amewapongeza wakulima na Uongozi mzima wa Wilaya ya kibiti kwa kuibuka kinara wa usimamizi bora wa zao la korosho dhidi ya Wilaya zote za Mkoa Pwani.

Meja Gowele amesema kwa mwaka huu mfumo wa stakabadhi ghalani ndiyo utakaotumika katika manunuzi ya korosho katika wilaya ya kibiti hivyo amewataka maafisa ugani kuhakikisha wanasimamia mfumo huo unatumika.

Vilevile Mkuu wa Wilaya Gowele akavitaka Vyama vya msingi kuhakikisha havipokei korosho ambazo hazijachambuliwa na kuwekwa kwenye madaraja ili kupokea korosho zenye viwango. pia, ametoa angalizo kwa watoroshaji wa korosho kuacha mara moja kitendo hicho ,kwani serikali imejipanga na atakayekamatwa hapatakua na mjadala hivyo akatoa agizo kwa kamati ya ulinzi na usalama na mkurugenzi mtendaji kusimamia hilo kikamilifu.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mohamed Mavura katika uzinduzi huo akimkaribisha mgeni rasm ambaye ni Mkuu wa Wilaya hiyo amewapongeza wakulima na  amsema zao la korosho ni uti wa mgongo wa mapato ya wilaya ya kibiti ambapo mwaka huu wilaya ya kibiti imeuza jumla ya kg 7,601,539.

Mwisho wadau wakakubaliana na ombi la Mkurugenzi kuhusu kurejesha tozo ya Tsh. 20 katika kila kilo ya korosho ambayo awali iliondolewa baada ya kuonekana imekuwa mzigo kwa wakulima kutokana na uzalishaji kuwa chini ili kulinda maslahi ya Wakulima kwani makusanyo hayo ya fedha husaidia kuchangia maendeleo ya elimu hususani ujenzi wa vyoo, ukamilishaji wa maboma n.k.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.