• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KONGAMANO LA ELIMU MSAFIRI SEKONDARI

Posted on: October 15th, 2022

Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imeupongeza umoja wa wanafunzi waliohitimu Msafiri Sekondari arimaarufu ALUMNI Msafiri kwa kuandaa Kongamano lenye tija kwa jamii waliyotoka na kuwasihi iwe endelevu kwa maendeleo ya mtoto wa Kibiti ..


Katika Kongamano hilo wahitimu hao wa Msafiri Sekondari na waandaaji wa kongamano wametoa zawadi ya mashine ya kudurufu (Photocopy machine) yenye thamani ya shiilingi za kitanzania 800,000.ikiwa ni sehemu ya kuikumbuka na kuijali shule waliyosoma.


Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano hilo Anna Shitindi ambaye ni Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Kibiti amesema Kongamano hilo ni la kuigwa na ni chachu ya maendeleo ya Elimu Katika Wilaya ya Kibiti Pia amewashukuru Alumni hao kwa zawadi mbalimbali walizoleta ikiwemo mashine ya kudurufu na kuutaka uongozi wa shule wajielekeze kwenye matumizi sahihi ya mashine hiyo ili kuitunza na kudumunayo kwa muda mrefu.


Akijibu maombi ya Alumni hao kwa  kupita risala yao ambapo waliiomba serikali kuweka angalau vyuo vya ufundi na ngazi ya kati (collage) katika Wilaya ya Kibiti Ili kusaidia vijana ambao hawakufaulu vizuri kujiendeleza kielimu akasema amelipokea na litafanyiwa kazi, hata hivyo Kuna mpango kabambe wa kuhakikisha Wilaya inaongeza shule za kidato Cha 5 na 6 zifike angalau 3 Ili kuipunguzia mzigo kibiti Sekondari ambayo ni shule pekee wilayani.


Vilevile Bi Shitindi kwa niaba ya Mkurugenzi ambaye alikuwa Mgeni Rasmi amewasihi wazazi kuwaandikisha mapema watoto watoto waliofikia umri wa kuanza darasa la awali na la kwanza Ili January ikifika wawe wamekwisha waandalia mahitaji muhimu Kwani serikali huwasomesha watoto bila ada hivyo wasisite kuandikisha watoto .


Pia akasema anasikitishwa na tabia za mmomonyoko wa maadili zinazoendelea kwa watoto ikiwa ni pamoja na utoro shuleni, mimba n.k maadili yakisimamiwa vizuri na wazazi huku walimu hawatapata shida itasaidia pia kauli mbiu ya Wilaya ya Tokomeza ziro  pandisha GPA.


Aidhaa Afisa Elimu huyo amesema, Kuna haja ya kuelekeza nguvu ya changizo la chakula katika Kongamano lijalo kwani chakula ni afya, hivyo atafurahi kuona chakula shuleni kwani chakula huleta mahusiano mazuri ya kitaaluma .


Mwisho kipekee akampongeza Mwenyekiti wa uvccm Wilaya ya Kibiti ambaye ni mmoja wa wahitimu wa kwanza 2010 Bi Amina Mkomboya kwa zawadi nzuri za taulo za kike za kuwasitiri watoto wa kike yaan Pedi ambazo ziligawiwa kwa mabinti hao.


Naye mwalimu mkuu wa shule hiyo Estomic Kimwemwe amesema Kongamano hilo ni mwendelezo kwa ushirikiano mzuri wa wanafunzi waliohitimu Msafiri Sekondari ambalo hufanyika Kila mwaka   kwa njia ya kuchangishana wao kwa wao na kuja kurudisha shukrani shuleni kwapo huku lengo likiwa kuhamasisha wadogo zao  kusoma kwa bidii...

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.