• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI-WIAYANI KIBITI.

Posted on: March 6th, 2023

# VITENDEA KAZI KUTOKA TAMISEMI NA WIZARA YA KILIMO.


Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amekabidhi jumla ya pikipiki 20, ambapo 6 kati ya hizo zimetoka Ofisi ya Rais Tamisemi maalumu kwa ajili ya watendaji kata na 20 kutoka Wizara ya Kilimo kwa ajili ya Maafisa Ugani katika Kata mbalimbali.

Akikabidhi pikipiki hizo Kanali Kolombo amewataka Maafisa ugani na watendaji wa kata hao kutumia vizuri vitendea kazi walivyopokea kwa kuhakikisha wanawafikia walengwa (wananchi) kwa wakati na kusisitiza kwamba hatarajii kusikia malalamiko kutoka kwa wananchi kuanzia sasa.

“Hakuna kisingizio tena wala sitarajii kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi, nendeni mkafanye kazi” alisema Kolombo.

Katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Ramadhan Mpendu amesema, pikipiki hizo zilizopokelewa zinakwenda kupunguza changamoto zilizokuwepo huku akiwaagiza Maafisa ugani kuzitunza vizuri na kuhakikisha wanawafikia wakulima kwa wakati.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mohamed Mavura, alitoa ufafanuzi kwamba kati ya pikipiki 20 zilizopokelewa 14 zilizokabidhiwa kwa Maafisa ugani zinatoka wizara ya kilimo na 6 zilizokabidhiwa kwa watendaji kata zinatoka Ofisi ya Rais Tamisemi.

Vilevile Mavura   amewakumbusha wataalamu hao kuhakikisha pikipiki hizo zinatumika kwa kazi zilizokusudiwa ikiwa ni pamoja na kuzitunza vizuri . Pia Mavura amesema kupitia pikipiki hizo ni matarajio yake zinakwenda kupunguza uhitaji uliokuwepo awali Pamoja na wananchi kupata huduma zinazo stahili.

“ mzitunze na kuwahudumia wananchi, msitumie kwa matumizi yenu binafsi wala kuzigeuza bodaboda za biashara. Alisema Mavura.

Aidha Farida Lawrence na Mpore Chuma kwa niaba ya maafisa wengine wamemshukuru Rais Mama Samia suluhu Hassan na Wizara ya kilimo kwa kuwaletea vitendea kazi hivyo, kwani vitasaidia kuwafikia wakulima mashambani kulingana na jiografia ya maeneo wanayoishi na wanategemea uzalishaji wa ufuta, korosho na mazao ya chakula utaongezeka zaidi kwani wamejipanga kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi Ili waweze kuzalisha mazao kwa wingi.

Matangazo

  • KUANZA KWA MFUMO MPYA WA UKUSANYAJI MAPATO (TAUSI) March 01, 2023
  • KUANZA KWA MFUMO MPYA WA UKUSANYAJI MAPATO (TAUSI) March 01, 2023
  • TANGAZO KWA WAFUGAJI WOTE WILAYA YA KIBITI December 29, 2022
  • TANGAZO KWA WAKULIMA WOTE WILAYA YA KIBITI December 30, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • WILAYA YA KIBITI YASHEHEREKEA MIAKA 106 YA SKAUTI NCHINI

    March 11, 2023
  • UKAGUZI WA UJENZI WA VYUMBA VITANO VYA MADARASA PAMOJA NA OFISI SAMBAMBA NA UKAGUZI WA KPI (KEY PERFORMANCE INDICATORS) SHULE YA MSINGI KIASI.

    March 09, 2023
  • SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YAFANA WILAYANI KIBITI.

    March 07, 2023
  • MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI-WIAYANI KIBITI.

    March 06, 2023
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.