• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI-WIAYANI KIBITI.

Posted on: March 6th, 2023

# VITENDEA KAZI KUTOKA TAMISEMI NA WIZARA YA KILIMO.


Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amekabidhi jumla ya pikipiki 20, ambapo 6 kati ya hizo zimetoka Ofisi ya Rais Tamisemi maalumu kwa ajili ya watendaji kata na 20 kutoka Wizara ya Kilimo kwa ajili ya Maafisa Ugani katika Kata mbalimbali.

Akikabidhi pikipiki hizo Kanali Kolombo amewataka Maafisa ugani na watendaji wa kata hao kutumia vizuri vitendea kazi walivyopokea kwa kuhakikisha wanawafikia walengwa (wananchi) kwa wakati na kusisitiza kwamba hatarajii kusikia malalamiko kutoka kwa wananchi kuanzia sasa.

“Hakuna kisingizio tena wala sitarajii kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi, nendeni mkafanye kazi” alisema Kolombo.

Katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Ramadhan Mpendu amesema, pikipiki hizo zilizopokelewa zinakwenda kupunguza changamoto zilizokuwepo huku akiwaagiza Maafisa ugani kuzitunza vizuri na kuhakikisha wanawafikia wakulima kwa wakati.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mohamed Mavura, alitoa ufafanuzi kwamba kati ya pikipiki 20 zilizopokelewa 14 zilizokabidhiwa kwa Maafisa ugani zinatoka wizara ya kilimo na 6 zilizokabidhiwa kwa watendaji kata zinatoka Ofisi ya Rais Tamisemi.

Vilevile Mavura   amewakumbusha wataalamu hao kuhakikisha pikipiki hizo zinatumika kwa kazi zilizokusudiwa ikiwa ni pamoja na kuzitunza vizuri . Pia Mavura amesema kupitia pikipiki hizo ni matarajio yake zinakwenda kupunguza uhitaji uliokuwepo awali Pamoja na wananchi kupata huduma zinazo stahili.

“ mzitunze na kuwahudumia wananchi, msitumie kwa matumizi yenu binafsi wala kuzigeuza bodaboda za biashara. Alisema Mavura.

Aidha Farida Lawrence na Mpore Chuma kwa niaba ya maafisa wengine wamemshukuru Rais Mama Samia suluhu Hassan na Wizara ya kilimo kwa kuwaletea vitendea kazi hivyo, kwani vitasaidia kuwafikia wakulima mashambani kulingana na jiografia ya maeneo wanayoishi na wanategemea uzalishaji wa ufuta, korosho na mazao ya chakula utaongezeka zaidi kwani wamejipanga kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi Ili waweze kuzalisha mazao kwa wingi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.