• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MAANDALIZI YA NANENANE 2024.

Posted on: July 23rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuboresha Sekta ya Kilimo na kuhama kutoka kwenye kilimo siasa (political Agriculture) na kuelekea kilimo cha kiuchumi (Economic Agriculture) lengo likiwa ni  kumsaidia mkulima kuzalisha mazao yenye tija ili kuweza kumudu soko la kimataifa na kuboresha maisha binafsi. 

Chalamila amesema hayo Julai 19, 2024 alipokuwa akiendesha kikao cha maandalizi ya sherehe za nanenane 2024 Kanda ya Mashariki  kilichofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere vilivyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ambapo maadhimisho hayo yanayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti Mosi hadi Agosti 8 mwaka huu.  

Mkuu huyo wa  Mkoa amesema lengo la maonyesho hayo sio tu kuwaonensha Wananchi bidhaa, vipando vya mazao mbalimbali, mifugo,  uvuvi na teknolojia za kisasa lakini pia Wananchi watapata fursa ya kuuza bidhaa zao na ameitaka kamati ya maandalizi ya maonyesho hayo kufanya tathmini ya ubora wa bidhaa hizo kuona unakidhi mahitaji ya soko na watumiaji.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amesisitiza wananchi kushiriki kikamilifu  maadhimisho ya siku hiyo ya wakulima ili waweze kujipatia utaalamu mbalimbali  wa kuendesha shughuli zinazohusu masuala ya kilimo, ufugaji na Uvuvi.

Maadhimisho hayo ya Kanda ya Mashariki yatahusisha mikoa ya Tanga, Pwani, Dar Es Salaam na Morogoro.

Pichani ni washiriki wa kikao hicho wakiwemo Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Katibu Tawala Wilaya ya Kibiti Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibiti pamoja na wataalam wa Idara ya Kilimo, mifugo na Uvuvi Kibiti ambao pia walipata fursa ya kutembelea vipando vya Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti vilivyopo kwenye Uwanja huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.