• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MHE. KHAMIS AMEZINDUA JENGO LA OFISI YA WETLANDS ITERNATIONAL - KIBITI

Posted on: October 13th, 2024

Katika kuhakikisha tunakwenda sambamba na Teknolojia Nchini Naibu wa Waziri , Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira khamis Hamza Khamis (MB), amewaagiza walimu kuhakikisha wanaongeza juhudi za ufundishaji wa masomo ya sayansi ili kuzalisha kizazi chenye wataalam watakaoipeleka nchi Dunia inakoelekea, huku akiwasisitiza Wazazi kuwasimamia watoto wao


Amesema hayo Oktoba 10 alipokuwa akifungua jengo la Ofisi ya rasilimsli katika Kijiji cha Nyamisati Wilayani Kibiti lililojengwa na shirika la Uhifadhi wa Ardhi Oevu (Wetlands International).
Licha ya kupanda mikoko takribani 500 Wilayani humo, Mhe. Khamis ameiagiza Halmashauri na Wetlands kudhibiti ongezeko la uingiaji wa maji chumvi kwenye mito kwani imekuwa ni chanzo cha uharibifu wa vipando vya mikoko vinavyoendelea kupandwa.
Hata hivyo ametoa wito kwa wakazi wa kibiti na watanzania kwa ujumla kuongeza kasi ya kupanda mikoko na miti ya kawaida, kuepuka kufanya shughuli za kibinadanu kwenye vyanzo vya maji,na pia kusimamia Sheria za utunzaji wa mazingira.
" Halmashauri simamieni uthibiti shughuli za kibinadamu katika maeneo ya vyanzo asilia,ili kuimarisha utunzaji w Mazingira kwenye maeneo yenu" Alisema.


Akimwakilisha Mkuu w Wilaya ya Kibiti, Afisa Tarafa ya Kikale Ndugu. Salim Malogwa amemshukuru Mhe. Khamis Hamza Khamis kwa kuitikia wito pamoja na kuwapongeza Wetlands kwa kuwa nguzo kubwa ya uhifadhi na urejeshaji wa uoto wa asili Kibiti.

Kwa upande wake Mratibu wetland International Tanzania Dkt. Emanuel Mwainunu amesema kuzinduluwa kwa jengo hilo, litatumika kama Ofisi ya Wetlands na Taasisi zingine, litakuwa Kituo cha kutoa elimu ya rasilimali ya matumizi endelevu ya uwanda wa delta ya Rufiji, kuwa Kituo cha wanafunzi kufanya utafiti na kutoa taarifa,n.k
Aidha Diwani wa Kata ya Salale Mhe. Abdallah Ndomondo na Mwakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe amelipongeza shirika hilo kwa kazi nzuri wanavyofanya ya kutunza Mazingira na wakati huo huo Diwani wa Kata ya Kiongoroni Mhe. Mharami Tota alimshukuru Mhe. Rais kwa kuwapatia kibali cha kutekeleza Mipango hiyo yote kwa maelekezo yake.
Awali akifungua hafla


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.