• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MIMBA MASHULENI BADO NI TATIZO KIBITI.

Posted on: February 15th, 2024

Tatizo la Mimba za utoroni sambamba na utoro mashuleni limeendelea kuwa kikwazo  katika Wilaya ya Kibiti jambo linalofanya watoto kushindwa kumaliza shule na kutimiza ndoto zao.

Hayo yamejiri  katika kikao cha tathmini ya mimba mashuleni kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 12.2.2024, majira ya mchana.

Katika kikao hicho Mkuu wa wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amesema kutokana na ugumu unaojitokeza kuwataja wanaowatia mimba wanafunzi, Sasa ataanza kukamata wazazi wa watoto waliopata ujauzito hususani kinamama  kwa sababu wamekuwa wakijua kinachoendelea na kuficha siri.

"Nitapambana na wazazi , kinamama wamekuwa wanawafichia siri watoto wao, nitawakamata wote" Alisema Kanali Kolombo.

Hivyo Halmashauri imeweka mikakati ya kuondoa tatizo la mimba ikiwemo usimamizi thabiti wa upimaji mimba mashuleni ambao pamoja na Wahudumu wa Afya pia utasimamiwa na Watendaji Kata, Maafisa Elimu Kata, Polisi kata, walimu Wakuu na Wakuu wa shule. 

Maazimio mengine ni kuhakikisha elimu ya mimba inatolewa mashuleni kupitia Watendaji Kata, Polisi kata, Ustawi wa jamii, Maendeleo ya jamii, dawati la jinsia na Maafisa Elimu Kata.

Pia Polisi kata wote wameagizwa kupeleka taarifa katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hususani Orodha ya kesi za mimba zilizofikishwa Polisi na mahakamani.

Mwisho Mkurugenzi Mtendaji Hemed Magaro amewaagiza watendaji Kata wote kupeleka taarifa ya watoto walioripoti shuleni kuanzia wale wa darasa la Awali, darasa la kwanza na kidato cha kwanza.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.