• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKURUGENZI MAGARO AYATAKA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KIBITI KUFANYA KAZI KWA KUFUATA MIONGOZO.

Posted on: August 21st, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Ndg. Hemed Magaro ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayofanya kazi Wilayani Kibiti kutokufanya kazi kiholela, ameyataka mashirika hayo kujulikana kisheria na kufuata miongozo ya ufanyaji shughuli za kiasasi ndani ya Halmashauri.

Ndg. Magaro amesema hayo leo Agosti 21, 2024 alipokuwa akifungua kikao cha Jukwaa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali Wilayani Kibiti kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo, ambapo mashirika 21 yalialikwa.

“Serikali inatambua ukubwa wa mchango wenu kwenye jamii, bila nyie kuna mambo ambayo yasingeweza kutekelezwa na Serikali pekee. Hivyo basi niwaombe mkifika njooni kwenye uongozi mjitambulishe na shughuli mnazokwenda kufanya ili mpate kibali lakini pia tambulisheni kwanza kila mradi mnaotaka kuutekeleza kwa uongozi wa wilaya, kata na vijiji kabla ya kuwafikia Wananchi, msiende moja kwa moja kwao” Alisema.

Mkurugenzi huyo ameyataka mashirika hayo kutoa Elimu inayozingatia tamaduni zetu za Kitanzania, pia kutoa elimu ya mpiga kura kwa jamii hususani wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa kwani ari ya watu kushiriki shughuli za uchaguzi wa viongozi bado ipo chini haswa kwa vijana.

Vilevile Ndg. Magaro ametumia jukwaa hilo kuyakumbusha mashirika hayo kuwasilisha taarifa za utendaji kazi wao kwa kila robo ya mwaka ambao watabainisha miradi na kiasi cha fedha kilichotumika kutekeleza miradi hiyo ili kuonesha uwazi kwa jamii.

Mwisho kabisa Mkurugenzi Magaro ameahidi kutoa ushirikiano kwa mashirika hayo huku akiwaomba wawaalike wengine kwani Kibiti bado ina uhitaji wa wadau wengi zaidi watakaoweza kusaidia miundo mbinu ya Elimu na Afya.


Aidha Halmashauri imeyamezawadiwa vyeti Mashirika 3 kwa kutambua mchango wao katika kusaidia jamii ya Kibiti. Mashirika hayo ni Jicho Angavu, Kalamu Education Foundation pamoja na CAMFED.

Kwa upande wao wawakilishili wa mashirika hayo wameishukuru Halmashauri kwa kuwapa ushirikiano na kutoa maombi ya kupatiwa Mkaguzi wa hesabu kila mwisho wa mwaka ili watoe taarifa sahihi, kupewa Ofisi pale jengo la Halmashauri litakapokamilika pamoja na ushiriki wa wataalam kama Mwanasheria, Afisa maendeleo ya jamii, Afisa Elimu na Afisa biashara kwenye vikao vyao kwani shughuli nyingi zinagusa sekta hizo. 

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.