• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKUU WA WILAYA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE NGAZI YA KATA

Posted on: October 19th, 2023


Leo tarehe 19.10.2023, Mwenyekiti wa masuala ya Lishe wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amefungua kikao cha tathmini ya mkataba wa lishe ngazi ya kata kwa robo ya kwanza mwezi Julai-Septemba 2023/2024 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Katika ufunguzi huo Kanali Kolombo amesema katika kuhakikisha afya za watoto zinaimarika  ni lazma kuwe na zoezi la ufuatiliaji endelevu kuanzia mtoto anapozaliwa mpaka anapofikisha miaka mitano.


Katibu masuala ya Lishe Wilaya ya Kibiti Bw. Hemed Magaro amesema agenda ya Lishe wilayani iwe ni ya lazima na kuona umuhimu wa kutoka elimu kwa wananchi, kuwasimamia na  kuhakikisha kila kaya inakuwa na hekari 2-3  za chakula.

Vilevile Bw. Magaro amewaelekeza watendaji kusimami  na kuhakikisha mashamba ya shule yanalimwa kwa  tija na kuyatunza vizuri sambamba na  kufanya kampeni ya kupita  shule kwa shule kuhamasisha kilimo cha chakula na mbogamboga Shuleni.

Vilevile katika kikao hicho Katibu Tawala wa Wilaya Bi Mariam Katemana ameshauri kuwa kutumia WAVI (wahudumu wa Afya wa vijiji) pamojana kuwatengea bajeti ya kuwasapoti kuweza kutoa elimu ya kaya kwa kaya wanapokuwa na ajenda ya kupita katika kaya hizo wakati wa shughulu zao za kila siku.

Hata hivyo Bi Katemana amesema katika msimu huu wa kilimo, ni muhimu kuwaandikia wakuu wa shule barua ili kusisitiza suala la kilimo mashuleni, jambo litakalowasaidia kupata chakula na chanzo cha mapato shuleni.

Akisoma taarifa ya Lishe Wilaya Afisa Lishe Bi. Roina Daza amesema katika kikao kilichopita waliadhimia kuwasaidia Watoto  wenye hali mbaya ya lishe ambapo jumla ya sh. 521,850 zilipele kwa Watoto 6 wa familia 3 tofauti zenye watoto wenye lishe duni (Utapiamlo) kwa kuwanunulia  chakula na kuwekewa bili ya maziwa, ikiwa ni michango ya wananchi mbalimbali wa Halmashauri hiyo. Kati ya Watoto hao walikuwepo  mapacha 3 wa miezi minne kutoka Kata ya Dimani, Mapacha 2 wa miaka 2 na nusu kutoka Kijiji cha Mangombela kata ya Bungu,na mtoto wa miaka 5 wa Bungu.

" Tumekuwa na taarifa za watoto mapacha wenye afya duni, habari njema ni kwamba baada ya msaada huo, sasa mmoja wa pacha hao wa miaka miwili  sasa ameanza kutembea" Alisema Daza.

Bi. Daza amefafanua kuwa kikao kilichopita waliagizwa kupitia na kujua takwimu ya idadi ya shule na watoto wanaopata chakula shuleni, watendaji kata kuhakikisha ajenda ya Lishe inakuwaya kudumu, kufuatilia familia zenye ya utapiamlo, kutoa elimu ya uzazi wa mpango, kusimamia shule zotekuwana mashamba darasa na kuhamasisha wazazi zoezi la uchangiaji wa chakula n.k

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.