• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKUU WA WILAYA YA KIBITI ATEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MAEGESHO YA DARAJA LA MBUCHI LENYE UREFU WA MITA 61

Posted on: July 27th, 2021

MKUU WA WILAYA YA KIBITI ATEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MAEGESHO YA DARAJA LA MBUCHI LENYE UREFU WA MITA 61.

Leo tarehe 27.07.2021Mheshimiwa mkuu wa Wilaya ya Kibiti             Kanali.Ahmed Abasi Ahmed ametembelea na kufanya ukaguzi wa ujenzi wa maegesho ya daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61, ambapo aliongozana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya,Mkurugenzi Mtendaji na baadhi ya watendaji wa Halmashauri, meneja wa RUWASA pamoja na Mhandisi wa TARURA.

Mradi huu unasimamiwa  na wakala wa barabara vijijini(TARURA) na kujengwa na kampuni ya Alpha Logistics ya Tanzania utagharimu kiasi cha shilingi 6,145,882,290.38 ambapo utajumuisha ujenzi wa maegesho mawili(abutments),barabara za mkaribio za daraja mita 200 kila upande,maboresho ya barabara kutoka Muhoro kwenda Mbuchi kilometa 23 pamoja na kuimarisha daraja la Muhoro.

Mradi huu ulianza tarehe 04.01.2021 na unatarajiwa kukamilika Desemba,2021 mpaka sasa mradi huu umetekelezwa kwa asilimia 57.

Baada ya ukaguzi  Mhe.mkuu wa Wilaya Kanali.Ahmed A. Ahmed aliridhishwa na maendeleo ya ujenzi na kumtaka mkandarasi  aongeze kasi ili mradi huu ukamilike kwa wakati na kuanza kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wananchi kwani serikali ina jukumu la kuleta maendeleo kwa wananchi wake na daraja hili linaenda kutatua kero ya muda mrefu kwa kuunganisha vijiji vya kata hii.

Diwani wa Kata ya Mbuchi Mhe.Yusuf Saidi Mpili kwa niaba ya Wananchi alishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha ya kujenga daraja hili ambalo lilikuwa kero kubwa kwa wananchi wa kata ya Mbuchi kwa muda mrefu pia Mheshimiwa Diwani aliomba Serikali kuona umuhimu wa kuongeza mita nyingine zaidi za matengenezo ya barabara ya  mkaribio wa daraja kwa upande wa kuelekea vijiji vya Mbwera Magharibi na Mashariki kwani bila kufanya hivyo daraja hili litakuwa halifanyi kazi iliyokusudiwa.Mhandisi wa wakala wa barabara vijijini(TARURA) Eng.Salim Bwaya ambaye ndie msimamizi mkuu alisema suala hilo walishaliona na wiki ijayo atatuma wataalam kutoka ofisini kwake kwa ajili ya kufanya tathmini ya kina ili kupata mahitaji na kazi hiyo itatekelezwa ili daraja hilo lifanye kazi iliyokusudiwa.

Aidha, baada ya ukaguzi huo Mheshimiwa mkuu wa wilaya alifanya kikao na Wananchi wa Mbuchi kwa lengo la kujitambulisha na kusikiliza kero zao  na kuahidi kuzifanyia kazi.   

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.