• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MNADA WA KWANZA WA KOROSHO KIMKOA WAFANYIKA WILAYANI KIBITI

Posted on: November 2nd, 2022


  • Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele kwa niaba ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameongoza uzinduzi wa mnada wa kwanza wa mauzo ya korosho Mkoa wa Pwani uliofanyika katika Wilaya ya Kibiti.

  • Katika mnada huo jumla ya kilo 1,713,462 zimeuzwa, daraja  la kwanza likiwa na kilo 1,658,990 ambazo zimeuzwa kwa  bei ya wastani ya shilingi 1,661.94 na daraja la pili likiwa na Kilo 54,472 ambazo zimeuzwa kwa bei ya shilingi 1,405 baada ya  Wakulima wote kukubaliana kuuza kwa Bei zilizoainishwa.

  • Awali Meneja wa Corecu Mkoa wa Pwani Hamisi Mantaleo alisoma zabuni za wanunuzi 11  ambazo ziliwasilishwa kwa njia ya sanduku. Na  mnada ujao utafanyika tarehe 9/11/2022 Wilayani Mkuranga.
  • Vilevile Mantaleo amewataka wakulima na wanunuzi kujenga tabia ya kusoma na kuelewa vizuri makato ya tozo kama yanavyoainishwa kwenye makabrasha kabla ya mnada ili kuepusha sintofahamu kuhusu makato hayo ambapo jumla ya tozo za taifa ni 206.94, kwa Mkoa wa Pwani makato ni sh 20 kwa ajili ya kuchangia Elimu, na sh 20-81 kwa ajili ya usafiri kutoka kwenye magala ya AMCOS mpaka gala kuu (Inategemeana na umbali).
  • Hata hivyo Meja Gowele ameahidi kubeba na kufanmyia kazi suala la makato makubwa ya korosho (tozo) hususani bei za kuuza korosho zinapo kuwa chini kama ilivyo mwaka huu, kwani Serikali ni sikivu na ipo kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za  wananchi wake .
  • Nae Kaimu Mkurugenzi wa Mauzo Mkoa wa Pwani Bi Domina Adman akijibu swali lililoulizwa na mkulima kuhusu tozo amesema Tozo ya Tali Naliendele ambayo ni sh. 25 kwa kilo haijafutwa ipo kwa lengo la kusaidia kuendeleza tafiti mbalimbali kuanzia ngazi ya uzalishaji mpaka usindikaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO:SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

    June 12, 2025
  • PPRA KANDA YA PWANI YATOA MAFUNZO KUHUSU SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA NA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA UNUNUZI WA UMMA

    June 12, 2025
  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.