• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

NMB YATOA MABATI 120 KUEZEKA SHULE YA MSINGI KIASI BAADA YA KUEZULIWA NA UPEPO MKALI ULIOAMBATANA NA MVUA.

Posted on: January 31st, 2024

Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam  imekabidhi msaada wa mabati 120 yenye thamani ya zaidi ya sh Mil 4 kwa ajili ya kuezeka shule ya Msingi kiasi iliyopo Wilayani Kibiti ambayo iliezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mwaka 2022.

Akikabidhi mabati hayo Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam Ndg. Dismas Prosper amesema, msaada huo ni sehemu ya utaratibu wa  benki yao kurudisha shukrani kwenye jamii kwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni pamoja na majanga.

Aliendelea kusema kuwa, NMB ni benki ambayo imejikita kwenye kutatua changamoto zinapotokea lengo likiwa kuhakikisha uwepo wa huduma Bora katika Sekta zote ikiwemo Elimu. Pia amesema  wataendelea kuwa wadau wakubwa wa maendeleo ya elimu nchini kwenye masuala mbalimbali na sio yanayohusu majanga pekee.

Katika mapokezi hayo Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo ameishukuru benki ya NMB na Viongozi wake wote kwa kuona umuhimu wa kuwa na utaratibu mzuri wa kurudisha shukrani kwa Jamii jambo linalofanya benki hiyo kuwa karibu zaidi na jamii inayowazunguka.

 Kanali Kolombo ameshukuru sana kwa msaada huo huku akikiri kuwa Wilaya ya Kibiti bado inauhitaji mkubwa wa mabati kwani miundombinu mingi ni ya zamani inauhitaji wa ukarabati na katika majenzi mapya yanayoendelea.

"Naomba peleka salam kwa viongozi wenu, tunashukuru sana kwa kutukumbuka na kutujali wanakibiti msichoke kutuunga mkono tukija wakati mwingine. Leo nimepokea mabati haya, niwahakikishie hakuna kipande cha bati kitakachopotea" Alisema Kolombo.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.