• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

PM AONGEA NA WATUMISHI WA UMMA NA KUFANYA UKAGUZI WA MAJENGO YA EMD NA LA HALMASHAURI YA KIBITI

Posted on: November 28th, 2022


Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa amewaagiza  watumishi wa umma Wilaya ya Kibiti kuwajibika ipasavyo kila mmoja kwa nafasi yake.

Ni katika siku ya pili ya ziara yake mkoa wa Pwani Wilaya ya Kibiti ambapo alizungumza na watumishi katika ukumbi wa Halmashauri hiyo. Vilevile Mhe. Majaliwa amemsimamisha Kazi Afisa maendeleo ya jamii ndg. Godfrey Haule kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa Pamoja na kukutwa na sare za jeshi la JWTZ na kutaka hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake baada ya uchunguzi wa kamanda wa TAKUKURU kukamilika.


Mbali na kuongea na watumishi Mhe.Waziri Mkuu amepongeza Halmashauri hiyo Kwa kuwa na jengo zuri ambalo lipo katika hatua za umaliziaji baada ya kulikagua.

Mhe. Kassim Majaliwa amewaagiza DC, na DED kusimania uwajibikaji na nidhamu maofisini kwa kuhakikisha watumishi wanafanya kazi Kwa bidii kwa kufuatilia mienendo ya utendaji wao wa kazi,huku akisisitiza kuwa na vikao vya mara kwa mara, Pamoja na kujenga tabia ya  kuwatembelea wateja wao(watu wanao wahudumia) hadi maeneo ya vijijini kujua shida zao na siyo kukaa ofisini pekee.

Mhe. Majaliwa ameonyesha kuridhishwa na Halmashauri ya Kibiti kwa kuwa na makusanyo mazuri ya mapato. Hata hivyo pamoja na Kwa na makusanyo mazuri ya mapato,Waziri Mkuu amewataka Mwenyekiti wa Halmashauri na Madiwani kuhakikisha  fedha za mapato ya ndani zinatengeneza miradi mkubwa siyo kutegemea Serikali Kuu pekee na kuishirikisha jamii pia .

Kwa upande wa huduma za afya Waziri Mkuu Majaliwa amepongeza jitihada za usimamizi wa jengo la wagonjwa wa dharula (EMD) na kutaka umaliziaji wa milango ufanyike kwa haraka ili kuruhusu huduma kuanza kutolewa haraka. Vile vile amewaagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Mohamed Mavura pamoja na Mwenyekiti Ramadhani Mpendu, kuhakikisha vijiji vyote vinakua na zahanati huku akisema ujenzi wa hospital ya Wilaya ya kibiti ambao upo katika hatua ya umaliziaji ,utapunguza safari ya wananchi kwenda Dar es Salaam kutafuta matibabu kwani ni hospitali ya kisasa yenye huduma zote ikiwa ni pamoja na vipimo vyote muhimu.


Aidha Mhe. Majaliwa ameitaka Halmadhauri ya Kibiti kupitia idara husika,kufungua fursa na kutangaza fursa za vivutio vya utalii vilivyopo katika wilaya hususani katika maeneo ya Delta na mbuga ya selous.

Katika ziara hiyo iliyoambatana na viongozi wa chama na Serikali,Mhe. Mbunge wa Jimbo la Kibiti Twaha Mpembenwe ameipongeza Serikali ya awamu ya 6 Kwa jinsi inavyotoa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo sambamba na kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji Mohamed Mavura Kwa jinsi anavyoshirikiana na Ofisi ya Mbunge  kuhakikisha miradi inakamilika Kwa wakati. Pia ameiomba serikali kukamilisha jengo  la Halmashauri hiyo ambalo lipo katika hatua ya umaliziaji japo safu ya chini zimeanza kutumika.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.