Maafisa kutoka Mamlaka ya Udhibiti ya Ununuzi wa Umma(PPRA) Kanda ya Pwani wameendesha Zoezi la siku tatu la Mafunzo ya Sheria ya Ununuzi wa Umma pamoja na Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma(NeST) mafunzo yaliyoanza kuanzia tarehe 9,Juni, 2025 na kumalizika Juni 11,2025.
Mafunzo hayo yaliyowahusisha Wazabuni, Wakuu wa Vitengo na Ngazi ya Msingi (Shule ya Msingi, Sekondari na Vituo vya Afya) yameeongozwa na Afisa Tehama Mwandamizi Keneth Nnembuka na Afisa Ununuzi Bernadetha Mbawala kutoka katika PPRA Kanda ya Pwani.
Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.