• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

PROF. MKENDA ATEMBELEA SHULE YA WAMA NA KAYAMA.

Posted on: August 21st, 2023

AHAIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO


Waziri wa Elimu sayansi na teknolojia Prof. Adolf Mkenda amefanya ziara ya kutembelea shule ya sekondari ya wasichana Wama na kayama katika Wilaya ya Kibiti.

Akiwa shuleni hapo Prof. Mkenda amesema lengo la ziara hiyo ni kutembelea shule hiyo kuona mafanikio yaliyopo, changamoto na kuangalia namna ya kuzitatua.

"Tunamshukuru mama Salma Kikwete kwa kuona umuhimu wa kuleta shule hii eneo hili ni msaada mkubwa katika jamii inayowazunguka" Alisema Prof Mkenda.

Prof. Mkenda amesema changamoto za miundombinu ya shule ikiwa ni pamoja na ukosefu wa uzio amezibeba na atazifanyia kazi.

Hata hivyo prof Mkenda amemshukuru na amempongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea  kujali maendeleo ya elimu Kwa kuleta fedha nyingi kwa ajili ya majenzi mbalimbali ya vyumba vya madarasa na mikopo ya elimu ya juu.

Pia Waziri Mkenda amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii hususani masomo ya sayansi, kwani watakaofaulu vizuri watapata ufadhili wa Serikali  kwa 100% (Samia scholarship) kuendelea na masomo ya elimu ya juu.

Akimkaribisha Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknologia , Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amempongeza Waziri kwa kufika Wilaya ya Kibiti huku akiwasisitiza na kuwakaribisha kibiti Kwa ajili ya uwekezaji.

" kibiti ni mahali salama karibuni kwa uwekezaji, tuna maeneo ya kutosha yenye rutuba nzuri kwa kuwekeza".

Awali Akisoma taarifa ya mafanikio ya shule Mwenyekiti Msaidizi Mohamed Zome amesema tangu shule ianzishwe imekuwa na maendeleo mazuri kitaaluma na  kufaulisha vizuri .

Hata hivyo amesema licha ya mafanikio pia shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa miundombinu (majengo) upungufu wa nyumba za Walimu, upungufu wa Walimu na kuchelewa kuripoti kwa wanafunzi wa kidato Cha kwanza.

Wamanakayama ni Taasisi ya Wanawake na Maendeleo ambayo husaidia kusomesha watoto yatima na wanaotoka katika mazingira duni Tanzania bara na visiwani ambapo katika Mkoa wa Pwani ni Wana na kayama na Kwa mkoa wa lindi hujulikana kwa jina la Wama Sharaf.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.