• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

PWANI YAKABIDHI MWENGE WA UHURU 2024 KWA MKOA WA DAR ES SALAAM.

Posted on: May 9th, 2024

8.5.2024.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge amemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila Mwenge wa Uhuru baada ya kukimbizwa katika Mkoa wa Pwani kwa takribani siku 9 ndani ya  Wilaya 7 zenye jumla ya Halmashauri 9.

Akisoma taarifa ya Mkoa wa Pwani wakati akikabidhi Mwenge wa uhuru Mhe. kunenge amesema Mwenge umekimbizwa km 1,225.3 katika Wilaya zote za Mkoa huo na kumulika jumla ya miradi 126 yenye thamani ya sh Trillion 8.536 ambapo miradi 18 imekakaguliwa, 22 imezinduliwa na 86 imewekewa mawe ya Msingi.

Kunenge amebainisha kuwa kati ya miradi 126 iliyomulikwa miradi 2 imeonekana kuwa na dosari ambayo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa ametoa maelekezo, na kuahidi kwamba dosari hizo zinakwenda kufanyiwa marekebisho ndani ya muda mfupi kwa kufuata maelekezo waliyopewa.

 "Tumepokea maelekezo na tunakwenda kuyafanyia kazi ndani ya muda mfupi kwa tulivyoelekezwa" Alisema Kunenge.

Kwa nyakati tofauti viongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 wakiongozwa na Kiongozi wa Mbio hizo  Kitaifa Ndg. Godfrey Eliakimu Mzava wameupongeza Mkoa wa Pwani kwa mashirikiano mazuri na utayari wao waliouonyesha tangu walipoingia mkoani humo ikiwa ni pamoja na wananchi, Vyombo vya Usalama, Wakuu wa Wilaya ,Vijana wa halaiki, jukwaa la wazalendo huru n.k.

"Tunatamani tuendelee kuwepo Pwani lakini inatupasa kuelekea Dar es salaam kwa mujibu wa ratiba, tangu tumeingia Mkoa wa Pwani hatujakutana na changamoto yeyote na Mwenge unaondoka ukiwa salama" Alisema Mzava.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.