• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

TAASISI ZA AISHA SURURU NA WIPHAS ZAWAJALI WANAFUNZI WALIOATHIRIWA NA MAFURIKO KIBITI.

Posted on: May 13th, 2024

9.5.2024

Taasisi za Aisha Sururu na Wiphas ambazo ziko chini ya mwamvuli wa Dini ya Kiislam zinazojishughulisha na masuala ya kijamii kwa pamoja zimeguswa na kuwapelekea misaada wahitaji walioathiriwa na Mafuriko Wilaya ya Kibiti ambayo yamedumu kwa takribani miezi miwili Sasa.

Mahitaji waliyopeleka ni mchele kg 200, unga wa ngano viroba 10 Vyenye ujazo wa kg 10, sembe kiroba kimoja chenye ujazo wa kg 25, sukari kg 25, sabuni ya mche boksi Moja, maharagwe kg 300 na mafurishi 6 ya nguo mchanganyiko zikiwepo za watoto na kinamama.

Mwanaidi Bakari ni Katibu Mkuu wa Taasisi ya AISHA SURURU anasema wameguswa kuwasaidia wakazi wa Kibiti na ni moja ya utekelezaji wa majukumu yao hivyo wameona ni wakati sahihi kufika kuwafariji na kuwashika mkono walioathiriwa na Mafuriko.

Bi Mwanaidi pamoja na timu yake wamefikisha msaada huo shule ya msingi Kitundu ambapo wanafunzi wa madarasa ya mitihani kutoka shule zilizoathiriwa na mafuriko na wameweka kambi ili kuendelea na masomo yao.

"Sisi tunafanya kazi na jamii, tulionao hapa ni watoto wa darasa la 4 na la 7 wanaotarajiwa kufanya mtihani waliohamishwa kutoka kwenye makazi yao kutokana na shule zao kuzingirwa na maji, kwa kidogo hiki tulicholeta ni Imani yetu kitawasaidia wakiwa Kambini kwao ambapo wanaendelea na masomo" Alisema.

Vilevile Mwakilishi kutoka Taasisi ya Wiphas amesema pamoja na kwamba Taasisi zao ni za kidini, panapohitajika masuala ya kibinadamu hayaangalii Dini ndiyo maana leo jamii inashuhudia wamefika Kibiti.

Hata hivyo Shekhe aliyeambatana na msafara huo yeye aliwaasa watoto kusoma kwa uchungu na bidii ili waweze kufanikiwa na kufaulu katika masomo yao, kwani hata wao kuja kwao Kibiti wameguswa na kuona uchungu watoto kuhamishiwa katika Mazingira waliyozoea na kwenda kuishi katika kambi.

Aidha Kaimu Mkurugenzi ambaye ni Afisa Elimu Divisheni ya Awali na Msingi Mwl. Zakayo Mlenduka amezishukuru Taasisi hizo kuwapelekea msaada huo, akikiri kwamba umefika wakati muafaka kwani unakwenda kusaidia watoto ambao wamewekwa Kambini katika shule ya Msingi Kitundu kutoka maeneo mbalimbali yaliyoathiriwa na Mafuriko ili waweze kuendelea na masomo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.