• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

TAKUKURU KIBITI YATOA SIKU 14 KWA WASIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO KULIPA KODI YA ZUIO.

Posted on: July 12th, 2024

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Wilaya ya Kibiti imetoa siku 14 kwa wasimamizi wote wa Miradi ya maendeleo kuipitia upya mafaili ili kuhakikisha na kujiridhisha kuwa wamelipia kodi ya zuio ambayo ipo kisheria na huchangia kuongeza pato la Serikali.

Akizungumza katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri, kamanda wa TAKUKURU  Bi. Anna Shine amesema baada ya kufanya upembuzi yakinifu wamegundua kuna mapungufu katika ulipaji wa  Kodi hiyo.

Vilevile amewataka wasimamizi wote wa  MIRADI kuacha tabia ya kugushi mihutasari kwa madai ya ili fedha iweze kutoka haraka na kwa yeyote atakayepatikana na hatia Sheria itafuata mkondo wake kwasababu ni kesi isiyokuwa na faini zaidi ya kwenda jela.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo katika warsha hiyo aliwataka walengwa wote kutekeleza maelekezo yaliyotolewa ndani ya siku hizi 14 , na kwa atakayekiuka agizo Hilo basi Sheria ifanye kazi yake.

Mbali na hayo amesisitiza Mamlaka ya mapato kuhakikisha inafuatilia na kufanya tathmini ya miradi yote. Pia amesema kuna haja ya kutoa elimu kwa wazabuni ili kuweza kupunguza mivutano kati yao na wasimamizi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg Denis Kitali amewasihi wataalam kusimama miongozo katika miradi yote huku akiahidi kusimamia na kufuatilia vema ili kuhakikisha thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali inaonekana.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.