• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

TASAFU PWANI YAWASILISHA TAARIFA KWA WAJUMBE WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI.

Posted on: July 27th, 2023

Mratibu wa  TASAF Mkoa wa Pwani Bi. Rose Kimaro  amewasilisha taarifa juu ya utekelezaji wa shughuli za mpango wa kuzinusuru kaya masikini Mkoa wa Pwani katika kipindi cha Julai 2021- Juni 2023.

Bi Rose amewasilisha kwamba, utekelezaji umehusisha Halmashauri 9 za Mkoa wa Pwani zenye jumla ya vijiji 417 hadi kufikia Juni 2023 mwaka huu, tayari kaya 35,427 zimenufaika na mpango huo.

Vilevile Bi Kimaro amebainisha kuwa kwa kipindi cha Julai 2021 hadi Juni 2023, jumla ya sh. 2,027,497,054 zimetokewa ambapo sh.1,448,882,500 zimetolewa kwa ajili ya malipo na ununuzi wa vifaa na kiasi cha sh. 568,614, 500 zimetolewa kwa lengo la kutekeleza miradi 296 iliyoibuliwa katika Vijiji 224 na kutekelezwa na walengwa 10,907.

" Tunashukuru Serikali kwa kuanzisha mfumo huu, tangu uanze hadi sasa kwa Mkoa wa Pwani mafanikio ni makubwa katika nyanja mbalimbali na kaya nyingi zimepunguza umasikini kiuchumi na kijamii. ( Kuweka akiba, kupata ujira, kuboresha makazi ,kusomesha watoto, uhakika wa chakula n.k.).

Mbali na mpango kuwa na mafanikio makubwa, mratibu Rose amesema bado kuna changamoto mbalimbali zinawakabili kama vile kutokupokea ruzuku kwa kipindi kinachotakiwa, kucheleweshewa malipo ya walengwa, huku changamoto ikiwa ni kubaini  sifa za wananchi kuingia kwenye mpango na kusababisha malalamiko kwa ambao hawajafanikiwa kuingia pamoja na kutokuwepo kwa uwazi na ukweli  wa kaya zilizoimarika kuhitimu na kupisha walengwa wengine kuanza kunufaika.

Akijibu changamoto zilizobainishwa kwenye taarifa ya mkoa  Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI, Bi Grace Maghembe ameelekeza kusimamia na kuhakikisha malipo ya walengwa yanalipwa kwa wakati kuendana na kalenda ya malipo ili kuepuka malalamiko na kuboresha malengo kama yaliyokusudiwa.

" Jikiteni kwenye kuelimisha walengwa kutambua kuna kipindi malipo huchelewa kuepusha maswali mengi yenye sintofahamu fedha zikichekewa kuingia, hii itapunguza malalamiko" Alisema Dr.Maghembe.

Aidha Dr. Maghembe ameagiza kuimarishwa kwa mifumo ya kutunza taarifa ambazo zitasaidia kufuatilia na kutambua kaya zilizoimarika ili ziweze kuhitimu kwa wakati na kupisha kaya nyingine zinufaike.

"Mkiwa na utaratibu mzuri wa kufuatilia kimfumo utasaidia kuhakiki kaya zinazostaili kuhudumiwa na pamoja na kuwaingiza wananchi wenye sifa katika mpango huu" Alisema Maghembe.

" Pesa zitumike vizuri ili kila mwenye kaya duni  anufaike, siyo mtu atake kunufaika milele, kuna watu wengi wanachangamoto, ningependa  mkalisimamieni hilo."Alisema Maghembe.

Akijibu hoja ya kucheleweshwa kwa fedha za malipo Afisa wa Miradi TAMISEMI makao makuu Bw. Shambani Abdulmalik amesema amelichukua kikubwa ni kuimarisha mawasiliano ili kuweza kutatua tatizo kadri inavyowezekana.

Awali akikaribisha ugeni huo katika ukumbi wa Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Bw. Hemed Magaro, ameishukuru TASAF ujio wake na kazi nzuri za maendeleo wanazozifanya Wilaya ya Kibiti.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.