• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

UJENZI DARAJA LA MBUCHI WAKAMILIKA

Posted on: November 28th, 2022

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amefanya ziara ya kukagua shughuli za miradi ya Maendeleo Wilaya ya Kibiti ikiwa ni ziara ya siku 3 ndani ya Mkoa wa Pwani katika Halmashauri za Mkuranga, Kibiti na Kisarawe kuanzia Novemba 27-29 /2022.

Daraja hilo lenye urefu wa mita 61 mpaka linakamilika limetumia  kiasi cha shilingi bil 7.2 fedha za Serikali Kuu ikiwa ni mkakati wa Serikali  kuhakikisha kuwa wananchi wanahudumiwa mpaka vijijini.

Akiwa darajani hapo Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa amekagua na kuridhishwa na Mradi wa daraja la Mbuchi  sambamba na kuipongeza TARURA kwa kazi nzuri ya kusimamia ujenzi wa daraja hilo.

Akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na wananchi Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge Kwa niaba wananchi wa mbuchi na Mbwera amemshukuru Rais kwa kukamilisha  ujenzi wa daraja la mbuchi   lilikuwa ni kilio cha muda mrefu Kwa wananchi wa eneo hilo .

Vilevile Mhe. Kunenge amesema eneo la Mbuchi ni la kimkakati kwa uchumi wa mkoa wa Pwani, kwani Kuna shughuli kubwa za kilimo na uvuvi zinazofanywa na wananchi Kwa ajili ya kujiongezea kipato na kuchagia Pato la serikali kwa ulipaji wa Kodi mbalimbali hivyo ukosefu wa daraja hilo kulizuia kufanyika kwa ufasaha shughuli hizo

Mhe.Waziri Mkuu amempongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Kwa kuunda taasisi ya wakala wa barabara TARURA Ili kuweza kukabili changamoto zote za barabara za mitaa na vijiji.

Waziri Mkuu amesema kukamilika Kwa daraja hilo ni neema Kwa wakazi wa Tarafa ya Mbwera kwani limekua kiunganishi na sasa panapitika  Kwa msimu mzima na shughuli za uchumi zitaendelea na kuwataka wananchi kulinda miundombinu ya daraja hilo ili liweze kudumu.

Hata hivyo Waziri Mkuu amemwagiza Waziri wa Tamisemi kushughulikia barabara unganishi kutoka muhoro  mpaka mbuchi.

Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amewataka wafugaji kufuga kulingana na maeneo wanayoyamiliki, huku akiziagiza serikali za vijiji, wilaya na mkoa kutambua mifugo yote iliyopo na maeneo yao na kusimamia Kila mfugaji awe na eneo lake la kufungua. Pia amekemea mapigano ya wakulima na wafugaji na kutaka kuchukuliwe hatua kali za kisheria Kwa mfugaji ambaye hathamini maisha ya wengine.

Pia ameisisitiza utunzaji wa misitu ya mikoko na kuwataka wananchi wa mbuchi kutafuta njia nyingine za biashara na kujiinguzia kipato kwani ukataji wa mikoko utaathiri mazingira na vyanzo vya maji.

Nao wananchi wa Mbuchi na Mbwera  Kwa nyakati tofauti wamemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kutoa fedha za ujenzi wa daraja hilo kwani awali iliwalazimu kutumia mitumbwi ambayo ilikua tishio Kwa uhai hasa nyakati za Mvua pindi mto huo unapojaa maji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.