• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI NYAMBILI NYAMBUNDA

Posted on: October 24th, 2022

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele, Mkurugenzi, Wakuu wa Idara mbalimbali  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti  na Wananchi wa vijiji vya Nyambili na Nyambunda wameshiriki katika zoezi la kusomba mchanga wa ujenzi wa sekondari ya Nyambili Nyambuda katika kata ya Bungu.

Akiwa kwenye mkutano na wananchi waliofika katika eneo ambalo shule inajengwa ,Gowele amepongeza na kufurahishwa sana na kasi ya wananchi kwa namna wanavyojitoa kuhakikisha ujenzi wa shule hiyo unakamilika.

Vile vile Gowele akaagiza mipango kuanza kutafuta waalimu wa kufundisha shuleni hapo ianze mapema ,kwani shule hiyo inatakiwa kuanza kupokea wanafunzi ifikapo januari 2023, sambamba na zoezi la usajili wa shule ili iweze kutambulika.

Akijibu kero za wananchi kuhusu suala la mifugokuharibu Mazao yao,  Mkuu wa Wilaya hiyo ameiagiza Idara ya Ardhi kupima na kutenga  maeneo hayo kwa kuweka na kutambua mipaka ili kuepusha migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Ndg. Mohamed I. Mavura katika kuunga mkono juhudi za wakazi wa Nyambili Nyambunda kwa nguvu kazi waliyoionyesh, amesema Serikali itamalizia ujenzi wa madarasa matatu ambayo mpaka sasa yamefikia hatua ya boma kwa jitihada za wananchi.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya kibiti Ramadhan Mpendu [Diwani] na Katibu wa CCM Kata ya Bungu Hussein Tinge kwa nyakati tofauti wamempongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa fedha za miradi mbalimbali anazoendelea kuzitoa kwa ajili ya miradi ya maendeleo Wilayani kibiti na Nchini kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.